Nimchukulie Passo au Vits?

I am still Thinking and I think the memory is loading.................Nasubiri wa kuomba ushauri wa...........................Ndo tunapoenda
 
Wanawake siwaamini sana kuwanunulia magari ya mikononi...Wao hawajui tatizo mpaka gari izime .
 
chukua vitz new model

Tatizo bajeti yangu iko limited.
Maximum I can afford to pay is 5 million TZS.
Naweza nikapata kwa hawa madalali wanauza magari Instagram kwa pesa hiyo? Ama ni "go and fucck myself"
 
Mkuu huu uzi ni 2016 atakuwa alinunua passo ikaisha kama khanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…