kingkongtz
JF-Expert Member
- Dec 28, 2019
- 1,025
- 3,463
Wakuu mko poa lakini.
Niwape story kdgo.
Kuna demu nimefahamiana nae miez 4 nyuma,tulikutana sehemu moja hivi ikiwa ni katika harakati za kutafuta maisha na mambo kadha wa kadha ili maisha yaende poa,
Kama zali kumbe manz tunakaa mtaa mmoja na hakulitambua hilo pia,kadri siku zilivyozid kusonga tulijikuta tayar tumezoeana ukizingatia mara nying tunakuw pamoja,
Sasa kama mwanaume katika kubonga nae story nilimuomba namba kwa ajili ya kuendelea kuwasiliana ila manzi alichomoa alidai ameolewa akimaanisha ntamuharibia kwa mumewe,kwa heshima nikapiga tu kmya kiroho safi maisha yakasonga,
Wiki kadhaa tena tulizidi kuzoeana na hatimaye alinikabidh no. mwnyew wala sikumuomba alidai nikiwa free niwe na mchek nikajibu poa.
Nilianza tena kama kumhitaji ikabidi nifuatilie kama ameolewa (wake za watu sipigi) nikaja kugundua anaish kwao alikuw ananizuga tu,
Kiufupi manz huwa ana vibe knoma nikiwa nae ila akinipa kisogo ndo bye-bye ,tuliwah chati kama mara 3 tu nilivyoona hatoi ushirikiano nikafuta namba kwasbb toka awali nilimuondoa kwenye list ya mademu ambao nipo nao serious.
TUJE KWENYE MADA HUSIKA
Huyu binti aliwah kunitolea nje akidai nimeshachelewa ila kama sipo atahakikisha ananitafuta kujua niko wapi (hapa huwa anafura kabsa)
Ukiachana na sex ambayo sijawah muomba, vingine vyote huwa anakubali kiroho safi tu na hana noma,yaan nimshike shike popote furesh tu hadi analegea na anafurah kweli kweli uwepo wangu,(hapa jamaa yake kala hasara)
Nikimuita majina ya mahaba anafurah sana na anapenda muda wote niwe nae ,hata akiona watu atanishika shika ilimrad tu aridhike fullstop.
Kosa tu akishaondoka ni kama hakuwah kuwepo na mm freshii tu huwa simchek wala nn.
NB:Hajawahi kuniomba hela/sijawah kutoa hela
Wasifu wangu
_Miaka 26
_Mwaka wa pili nimeachana na mke
Niwape story kdgo.
Kuna demu nimefahamiana nae miez 4 nyuma,tulikutana sehemu moja hivi ikiwa ni katika harakati za kutafuta maisha na mambo kadha wa kadha ili maisha yaende poa,
Kama zali kumbe manz tunakaa mtaa mmoja na hakulitambua hilo pia,kadri siku zilivyozid kusonga tulijikuta tayar tumezoeana ukizingatia mara nying tunakuw pamoja,
Sasa kama mwanaume katika kubonga nae story nilimuomba namba kwa ajili ya kuendelea kuwasiliana ila manzi alichomoa alidai ameolewa akimaanisha ntamuharibia kwa mumewe,kwa heshima nikapiga tu kmya kiroho safi maisha yakasonga,
Wiki kadhaa tena tulizidi kuzoeana na hatimaye alinikabidh no. mwnyew wala sikumuomba alidai nikiwa free niwe na mchek nikajibu poa.
Nilianza tena kama kumhitaji ikabidi nifuatilie kama ameolewa (wake za watu sipigi) nikaja kugundua anaish kwao alikuw ananizuga tu,
Kiufupi manz huwa ana vibe knoma nikiwa nae ila akinipa kisogo ndo bye-bye ,tuliwah chati kama mara 3 tu nilivyoona hatoi ushirikiano nikafuta namba kwasbb toka awali nilimuondoa kwenye list ya mademu ambao nipo nao serious.
TUJE KWENYE MADA HUSIKA
Huyu binti aliwah kunitolea nje akidai nimeshachelewa ila kama sipo atahakikisha ananitafuta kujua niko wapi (hapa huwa anafura kabsa)
Ukiachana na sex ambayo sijawah muomba, vingine vyote huwa anakubali kiroho safi tu na hana noma,yaan nimshike shike popote furesh tu hadi analegea na anafurah kweli kweli uwepo wangu,(hapa jamaa yake kala hasara)
Nikimuita majina ya mahaba anafurah sana na anapenda muda wote niwe nae ,hata akiona watu atanishika shika ilimrad tu aridhike fullstop.
Kosa tu akishaondoka ni kama hakuwah kuwepo na mm freshii tu huwa simchek wala nn.
NB:Hajawahi kuniomba hela/sijawah kutoa hela
Wasifu wangu
_Miaka 26
_Mwaka wa pili nimeachana na mke