Nimchague nani?

Nimchague nani?

Kondomu siyo sahihi japo ni kwa kiasi Fulani. Chagua either mtoto wa kishua au wasakatonge kutokana na mapenzi yake ya kwi na dhati kabisa. Ukiendekeza ngono kwa kila unayemwona utaambulia vvu tu. Naimani ukipata vvu hutakuja hapa kuomba uahauri maana utaanza kuishi kwa kujidicha ficha. Take care. Dunia siyo ya mariamu
Kwann unasema sio sahh sana
 
Nyia nyembamba ndio iendayo mbinguni
 
Wagonye wote tu kila mmoja kwa muda wake. Watoto bwana wakila na kushiba ubwabwa na maharage wanakuja humu kutujambia na thread zao za Juma na Roza
 
bwana mdogo na amini una uwezo wakufikiri,nenda kawaulize wanafunzi wenzio shuleni.
 
Back
Top Bottom