KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,574
- 8,592
Niukweli usiopingika tunapokuwa kwenye mapenzi huwa kuna matukio mengi ya kusisimua mazuri na mabaya na mpenzi wako!na mkisha achana utegemea ni njia zipi ziliwafanya mtengane lakini kwa yote kuna vitu ubaki kichwani mwako ukivikumbuka katika kipindi chenu cha mahusiano..Je wewe unakumbuka nini kwa mpenzi wako wa zamani??