Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,165
kama mie, nampigia simu lunch hour niko hotel na chumba nimelipia.
Ananikuta nishajisonteshea kibla tayari kwa kuchinjwa.
Hata aitunze vipi, haimsaidii lolote.
Uchumi ukipewa utumie khah!
Ananikuta nishajisonteshea kibla tayari kwa kuchinjwa.
Hata aitunze vipi, haimsaidii lolote.
Uchumi ukipewa utumie khah!
Hahahaha afuate nyayo za HOD wake siyo? Kakitumia vizuri kwa MD kishaula. Umepewa bure kuna ubaya gani ukikitoa kwa faida? Cha msingi ni kukitoa responsibly.
Karibu kaunta ya juu hapa Kibira.