Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,597
Kweli haiingii akilini kabisa kama ulikuwa humtaki si ungemwambia mapema wanawake nao saa nyingine mie nawalaumu huwezi kusoma alama za nyakati kuwa huyu jamaa hanitaki upooo tu unaitegesha K yako unazaaa mpaka unachakaa haifai
Mhhh!! DA umekuwa mkali!