Niliyoyagundua baada ya kuwatembelea wagonjwa Muhimbili

Yaani nitibiwe nipone halafu wanizuie kutoka kisa deni, labda sina miguu. Yaani nawaambia kabisa nyumbani jamani nileteeni mayai, chips, samaki niwe nakula kutafuta nguvu ya kutoroka. Siku ya kusepa hawataamini macho yao.
Unaakili kama zangu eeeh mungu tuepushe
 
Yalikuepo huenda hayakukuta staff mwenzangu mtoto aliugua tens akapewa referral toka mwananyamala to muhimbili wiki tu akafariki deni likawa 1.9 M wakagoma kutoa maiti ya mtoto tena asiekua hats na mwaka
Kipindi cha jiwe,huu upumbavu woote haukuwepo.
 
Ni mtihani sana, jiran hapa mume wake amelazwa hapo wiki tu mpka milion na zaidi vipimo tu Jana wamelazimisha waruhusiwe na mgonjwa warudi nyumban kwani hawawezi Ku afford hiz gharama, hapa mgonjwa kapewa referal ya mloganzila kwan ndio kuna kitengo kinachodili na mishipa ya fahamu, lakini wamerudi nyumbani kusubiri kadari ya Mungu kama atamponya kiumbe wake au atamchukua maana vikao vya familia vimefika mwisho hawawezi kuchangia tena, Mungu atupe tu afya njema
Dah familia isichoke iendelee kubambana
 
1. Kwa wagonjwa wasio na rufaa ni ghali zaidi ya mara 3 ya private hospital
2. Sio hospitali ya wanyonge tena bali ya wenye fedha
3. Wagonjwa huzuiwa kutoka hospitalini hapo kama wanadaiwa na kushikiliwa hata kwa zaidi ya miezi.
4. Bima za NHIF husaidia dawa na vipimo vidogo tu vikubwa havipo
5. Huduma za uzazi (mama na mtoto) ni ghali mno

Habari kamili
1. Kama utapata ajali ya ghafla au tatizo lolote la haraka eti hupaswi kwenda direct muhimbili unapaswa uanzie Temeke, Mwananyamala na Amana ili upewe rufaa!.

Swali ni je mmeziwezesha hizo hospitali kuwaokoa wagonjwa walio ktk hatari kubwa za kupoteza maisha?

Eti kwakuwa tu huna rufaa ulipie gharama za matibabu mara kumi ya mwenye rufaa?

Is this fair

2. Sio hospitali ya wanyonge tena bali matajiri!
Nimemkuta dada mmoja kajifungua pre mature (7month) gharama alizoletewa(bill) ni zaidi ya milioni 8 na wamezuia asitoke hadi alipe na hana uwezo huu ni mwezi wa pili wakemshikilia.

Sio mmoja tu wapo wengi mno juzi kuna mmoja kataka kujirusha ghorofani kwakuwa kashikiliwa na hospitali kwa kyshindwa kulipa milioni tano huku hana mume kazaa na mume wa tu tu ambaye naye hana uwezo
Kuna marehemu kibao maiti zao zimezuiwa kupewa wasizikwe kwakuwa zinadaiwa gharama za matibabu.

3. Bima za Afya esp NHIF haina msaada wowote kwa mtanzania wa hali ya chini kwakuwa kifurushi chao hain vipimo vikubwa wala dawa za gharama.

Kuna kijana kaenda kupima ulcers kwa kushushwa mpira tumboni pale OGD_Ostra Genology Department, kile kipimo gharama yake ni sh 150,000/= pekee but hakipo kwenye bima.

Wanapatiwa dawa na vipimo ambavyo wanaweza kuvimudu wasivyoweza hawapatiwi na bima sasa umuhimu wake uko wapi

4. Ilani ya chama cha mapinduzi ya mwaka 2020/2025 inaeleza wazi kuwa huduma za mama mjamzito na mtoto bi bure kabisa but ukienda pale martenity block utawakuta zaidi ya wanawake zaidi ya 50 ambao wamezuiwa kutoka hospitalini kwakuwa hawajalipa bill za huduma hiyo ambayo utashangaa kusikia mtu kajifungua anadaiwa zaidi ya milioni kumi jamani tanzania hii hii ya watanzania wengi wanaoishi chini ya dola moja?

Mwisho kabisa kama una sadaka yako unatamani iwafikie walengwa nenda hospitali watu wana shida aisee

Wagonjwa wameshikiliwa zaidi ya miezi miwili kisa wanadaiwa

Serikali itoe tamko wagonjwa wote walioshikiliwa Muhimbili kisa wanadaiwa waachiwe huru mana wanavyozidi kukaa pale gharama zinaongezeka na serikali inazidi kuwahudumia na kuzidi kuzidi kuongeza gharama ambao hawawezi kulipa sasa mtu kakaa mwezi kisa anadaiwa bado mnamwandika accomadation fee kila siku mna akili kweli?

Hayo ni baadhi ya mengi niliyoyashuhudia Muhimbili sio siri yamenitoa machozi but wote hao hawana sauti wala connection nani awasemee kama sio mtetezi wao?
Siasa siasa. Watakuja kutoa tamko na muda kidgo mbele tu watatudia mambo yao hawa ndivyo walivyo magu alitoa matamko saana kikwete alifanya saana ila hawaambiliki
 
Binafsi nimesoma pale hiyo hospital ni wachaga na wahaya baadhi wamejaa pale wanarithishana vizazi na vizazi Kuna Koo fulani tu ndo Huwa zipo unakutana baba ni prof idara fulani mwanae ni daktari bingwa jakaya kikwete cardiac institute
 
1. Kwa wagonjwa wasio na rufaa ni ghali zaidi ya mara 3 ya private hospital
2. Sio hospitali ya wanyonge tena bali ya wenye fedha
3. Wagonjwa huzuiwa kutoka hospitalini hapo kama wanadaiwa na kushikiliwa hata kwa zaidi ya miezi.
4. Bima za NHIF husaidia dawa na vipimo vidogo tu vikubwa havipo
5. Huduma za uzazi (mama na mtoto) ni ghali mno

Habari kamili
1. Kama utapata ajali ya ghafla au tatizo lolote la haraka eti hupaswi kwenda direct muhimbili unapaswa uanzie Temeke, Mwananyamala na Amana ili upewe rufaa!.

Swali ni je mmeziwezesha hizo hospitali kuwaokoa wagonjwa walio ktk hatari kubwa za kupoteza maisha?

Eti kwakuwa tu huna rufaa ulipie gharama za matibabu mara kumi ya mwenye rufaa?

Is this fair

2. Sio hospitali ya wanyonge tena bali matajiri!
Nimemkuta dada mmoja kajifungua pre mature (7month) gharama alizoletewa(bill) ni zaidi ya milioni 8 na wamezuia asitoke hadi alipe na hana uwezo huu ni mwezi wa pili wakemshikilia.

Sio mmoja tu wapo wengi mno juzi kuna mmoja kataka kujirusha ghorofani kwakuwa kashikiliwa na hospitali kwa kyshindwa kulipa milioni tano huku hana mume kazaa na mume wa tu tu ambaye naye hana uwezo
Kuna marehemu kibao maiti zao zimezuiwa kupewa wasizikwe kwakuwa zinadaiwa gharama za matibabu.

3. Bima za Afya esp NHIF haina msaada wowote kwa mtanzania wa hali ya chini kwakuwa kifurushi chao hain vipimo vikubwa wala dawa za gharama.

Kuna kijana kaenda kupima ulcers kwa kushushwa mpira tumboni pale OGD_Ostra Genology Department, kile kipimo gharama yake ni sh 150,000/= pekee but hakipo kwenye bima.

Wanapatiwa dawa na vipimo ambavyo wanaweza kuvimudu wasivyoweza hawapatiwi na bima sasa umuhimu wake uko wapi

4. Ilani ya chama cha mapinduzi ya mwaka 2020/2025 inaeleza wazi kuwa huduma za mama mjamzito na mtoto bi bure kabisa but ukienda pale martenity block utawakuta zaidi ya wanawake zaidi ya 50 ambao wamezuiwa kutoka hospitalini kwakuwa hawajalipa bill za huduma hiyo ambayo utashangaa kusikia mtu kajifungua anadaiwa zaidi ya milioni kumi jamani tanzania hii hii ya watanzania wengi wanaoishi chini ya dola moja?

Mwisho kabisa kama una sadaka yako unatamani iwafikie walengwa nenda hospitali watu wana shida aisee

Wagonjwa wameshikiliwa zaidi ya miezi miwili kisa wanadaiwa

Serikali itoe tamko wagonjwa wote walioshikiliwa Muhimbili kisa wanadaiwa waachiwe huru mana wanavyozidi kukaa pale gharama zinaongezeka na serikali inazidi kuwahudumia na kuzidi kuzidi kuongeza gharama ambao hawawezi kulipa sasa mtu kakaa mwezi kisa anadaiwa bado mnamwandika accomadation fee kila siku mna akili kweli?

Hayo ni baadhi ya mengi niliyoyashuhudia Muhimbili sio siri yamenitoa machozi but wote hao hawana sauti wala connection nani awasemee kama sio mtetezi wao?
serikali iliyofeli inaongeza pesa kwa wanasiasa na kuacha kujali ustawi wa wananchi wao. Angalia wabunge (kikao cha wanaccm) kinavyotafuna pesa za walipa kodi.

ishu ya afya ni nyeti sana
 
1. Kwa wagonjwa wasio na rufaa ni ghali zaidi ya mara 3 ya private hospital
2. Sio hospitali ya wanyonge tena bali ya wenye fedha
3. Wagonjwa huzuiwa kutoka hospitalini hapo kama wanadaiwa na kushikiliwa hata kwa zaidi ya miezi.
4. Bima za NHIF husaidia dawa na vipimo vidogo tu vikubwa havipo
5. Huduma za uzazi (mama na mtoto) ni ghali mno

Habari kamili
1. Kama utapata ajali ya ghafla au tatizo lolote la haraka eti hupaswi kwenda direct muhimbili unapaswa uanzie Temeke, Mwananyamala na Amana ili upewe rufaa!.

Swali ni je mmeziwezesha hizo hospitali kuwaokoa wagonjwa walio ktk hatari kubwa za kupoteza maisha?

Eti kwakuwa tu huna rufaa ulipie gharama za matibabu mara kumi ya mwenye rufaa?

Is this fair

2. Sio hospitali ya wanyonge tena bali matajiri!
Nimemkuta dada mmoja kajifungua pre mature (7month) gharama alizoletewa(bill) ni zaidi ya milioni 8 na wamezuia asitoke hadi alipe na hana uwezo huu ni mwezi wa pili wakemshikilia.

Sio mmoja tu wapo wengi mno juzi kuna mmoja kataka kujirusha ghorofani kwakuwa kashikiliwa na hospitali kwa kyshindwa kulipa milioni tano huku hana mume kazaa na mume wa tu tu ambaye naye hana uwezo
Kuna marehemu kibao maiti zao zimezuiwa kupewa wasizikwe kwakuwa zinadaiwa gharama za matibabu.

3. Bima za Afya esp NHIF haina msaada wowote kwa mtanzania wa hali ya chini kwakuwa kifurushi chao hain vipimo vikubwa wala dawa za gharama.

Kuna kijana kaenda kupima ulcers kwa kushushwa mpira tumboni pale OGD_Ostra Genology Department, kile kipimo gharama yake ni sh 150,000/= pekee but hakipo kwenye bima.

Wanapatiwa dawa na vipimo ambavyo wanaweza kuvimudu wasivyoweza hawapatiwi na bima sasa umuhimu wake uko wapi

4. Ilani ya chama cha mapinduzi ya mwaka 2020/2025 inaeleza wazi kuwa huduma za mama mjamzito na mtoto bi bure kabisa but ukienda pale martenity block utawakuta zaidi ya wanawake zaidi ya 50 ambao wamezuiwa kutoka hospitalini kwakuwa hawajalipa bill za huduma hiyo ambayo utashangaa kusikia mtu kajifungua anadaiwa zaidi ya milioni kumi jamani tanzania hii hii ya watanzania wengi wanaoishi chini ya dola moja?

Mwisho kabisa kama una sadaka yako unatamani iwafikie walengwa nenda hospitali watu wana shida aisee

Wagonjwa wameshikiliwa zaidi ya miezi miwili kisa wanadaiwa

Serikali itoe tamko wagonjwa wote walioshikiliwa Muhimbili kisa wanadaiwa waachiwe huru mana wanavyozidi kukaa pale gharama zinaongezeka na serikali inazidi kuwahudumia na kuzidi kuzidi kuongeza gharama ambao hawawezi kulipa sasa mtu kakaa mwezi kisa anadaiwa bado mnamwandika accomadation fee kila siku mna akili kweli?

Hayo ni baadhi ya mengi niliyoyashuhudia Muhimbili sio siri yamenitoa machozi but wote hao hawana sauti wala connection nani awasemee kama sio mtetezi wao?
Eti ilani?
Hujui siasa ni unafiki?
Hujui siasa ni ukatili?
Hujui siasa ni ushirikina?
Mawili kutoka hapo juu huenda yakakuwezesha kuwa mwanasiasa bora kabisa.
 
Nachukia sana nikiona mtu anajiita majina ya ovyo ovyo , badilisha jinsi unavyofikiri mkuu haijalishi sasa upo kwenye hali gani , matokeo ya kitu yanategemea fikra zako mkuu.
Sawa Mungu atunusuru Sisi matajiri maana hamna MTU wakututetea
 
Hakuna fimbo mzuri ya kuwachapa wana siasa kama ya kuwatoa madarakani bila kujari ni nani mnaemuingiza
Mnaemuingiza mumbane na katiba ambayo haitompa madaraka makubwa maana wengine ni vichaa aongozwe na katiba sio machawa
Tuwe na utataratibu wa kuwabaddilisha hawa watu
Tukiwachekea watatumaliza na kila siku hatutaisha lawama na kulalamika
Humu humu kuna machawa watarajiwa na machawa waliopita ma waliopo
Hawa ndio umchanganya mwananchi mgumu kuelewa,
Wale wanaojitoa ufahamu eti akimpa fulani ubunge ataenda kula na familia yake ye hapati kitu (wivu wa kijinga =
Siasa ni kama chakula utake usitake inakuhusu nawe
Toa maamuzi yako yaisaidie jamii yako
Tuwatoe watawala tuwaweke viongozi,
 
Wakisema wawe na huruma kwa wagonjwa kila mtu atahitaji kuhurumiwa, acha walipe na ikiwezekana wakishindwa kabisa wafungwe tu, mahospitali sio sehemu ya kutegemea huruma kabisa maana kila mtu ana shida tena nyingi.

Kuhusu Gharama shida ni hao wanaoendapo wakifahamu kabisa kipato chao ni kidogo kuna hospital nyingi tu kwenda.
 
Mungu atusaidie Sisi walala Hoi, hatuna mtetezi
Mtetezi wa kweli ni Mungu aliye hai na malaika zake pamoja na roho mtakatifu!
Mungu pekee ndiye mfariji wa wagonjwa!
Laiti kama ungelijua MUNGU uliye naye ni mkubwa sana kuliko hao watetezi wao wala usingewatamani!

Watetezi wao watawatetea kimwili, lakini Mungu atakutetea kiroho na kimwili!

Anasubiri kibari tu tumruhusu atutetee!

Mungu huwa anasubili tumshirikishe na tuamini anaweza yote
 
Back
Top Bottom