Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,373
- 54,758
Basi wachukue.Mwanamke, lakin aliye na mtoto duuu
Basi wachukue.Mwanamke, lakin aliye na mtoto duuu
Ndio zawadi wanayoipataga toka kwa masela. Yani unapiga ilimradi tu maana inakuwa kama free papuchi tu ambayo hukuwa na mpango nayo, sahio hata hisia nae zilishakufa.Inakera kwa kweli, ndiyo maana sikuweza hata kataa alipo jirahisisha....maana maumivu ya miaka ya kumfatilia ilikua bado yako moyoni
Mie pia nisingafanya tofauti na hiloYaani ningekuwa katika hali kama hii ya mtoa mada hicho ndio ambacho ningekifanya ". .. maybe kama angekuwa nimzuri " so ninge mfanya kuwa side chick tu " .. nothing at all
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni dilemma
Shirikisha kichwa kikubwa kufikiri na sio kichwa kidogo;kinachokufanya utake kumuoa ni kwa sababu anakupa sex au kuna sifa zingine za ziada za kimaisha?
Kuwa tu makini kwenye maamuzi yako,jaribu kumpima katika mazingira mengine kama anaweza kuwa mke;tofauti na hapo tafuta ambao wako fresh.Kwa sifa za kimaisha ni wakaida tu, siyo mpambanaji sana wala siyo mzembe sana (50/50). Kwenye ishu ya misimamo sjui alipokua anakataa alitaka asubir ndoa au alikua hajanielewa vzuri kwamba alikua na mtu anae muwaza. But ye jibu lake lilikua mda bado et umri hauruhusu
Huyo ni mke wa mtu mkuuHabari wadau wa JF,
Nikiwa sekondari (kidato cha 3) miaka 15 iliyopita nilimtongoza msichana aliyekua darasa moja nyuma yangu, hadi namaliza shule alikua amekubari lakin hakuwahi kuruhusu tupige show hata kushika maziwa tu alikua anagoma.
Advance shule zikawa maeneo jirani, lakini aligoma kuonana na mimi japo hta kwa salamu tu. Nilipofika chuo nikatafuta mwingine wakati yeye akiwa bado advance, huyu wapili hakuwa na shida za kuzingua tukawa tunapiga show za maana. Hadi yeye anamaliza chuo mwaka mmoja nyuma yangu tena bado sjawahi hata kuona brazia yake, lakin ndipo akajua kuwa nlishaanza uhusiano na mwingine, sjui kwa hasira au bahati mbaya hatukuwahi wasiliana tena hadi miaka kma mitatu iliyopita tukaanza kuwasiliana na nikajua tayari ameshapata mtoto.
Sasa amekuja kuniganda mwaka huu anataka tuendeleze mahusiano, na ipo siku alijirahisisha hadi nashow tukapiga. Akaeleza baba wa mtoto hayuko nae tena kaenda kuanzisha familia nyingine, mimi hadi saiz sjaoa bado, na nilishawaza kutafuta wa kuoa mwingine..... Je niendelee na plan ya kutafuta wa kuoa au nimchukue tu huyu, japo wazo la kuoa mwanamke mwenye mtoto tayari sikuwahi kuwa nalo.Ushauri wenu pls