Niliwahi kudhani kuna nguo maalamu ya kusafiria au kuvaa Dar

Bonesmen

JF-Expert Member
Jan 18, 2016
929
991
Wakuu kwa kweli ushamba ni mzigo wakati tunakua kua yani tuwadogo niliwah kuwaza kuwa kuna nguo maaluma za kuvaa ukiwa dar kuna nguo lazima uzivae yani nzuri au lazima uwe na nguo special za kusafiria, kutokana na hali duni baadhi yetu miaka hiyo niliwaza ivi kweli ktk nguo zangu zote kuna nguo ya kuvaa kama ntaenda dar es salam? Yani nikikumbuka natabasamu kweli ushamba mzigo
 
Nilikuwa Mwanza kaka Wilayani

Po kaka ni vision zako tu kipindi hicho si mbaya ilionyesha namna gani unajenga hisia na mtazamo kwenye kichwa chako kuhusu mahali fulani na watu wa eneo hilo.
 
Hili tatizo limeniathiri hata mimi,tangu utoto sikukuu ikipa ile nguo ya sikuu unaambiwa na mzazi usishindie ni ya kutokea,Sasa nilivyokua nakua msichana yanikinunua nguo nzuri naifanya ya kutokea nyumbani nashinda na mitambala ya ovyo,kumbe sivyo ukubwani usafi ndo unausika zaidi.
 
Hili tatizo limeniathiri hata mimi,tangu utoto sikukuu ikipa ile nguo ya sikuu unaambiwa na mzazi usishindie ni ya kutokea,Sasa nilivyokua nakua msichana yanikinunua nguo nzuri naifanya ya kutokea nyumbani nashinda na mitambala ya ovyo,kumbe sivyo ukubwani usafi ndo unausika zaidi.

Mkuu ni ukweli, hata wali tulikuwa wakati sikukuu tu!!!!!!!!!!!!!!!
 
sioni kama ni ushamba ni vizuri mtu kutenga nguo.kuna nguo unaweza ukatenga kwa ajili ya kusafiria, kushindia, za kazini pia za out nyinginyingi.kwa mfn. mm nikiwa nyumbani hupenda kuvaa madela ila sio machafu yaliochakaa hapana,madela yangu ya kisasa na open shoes. ila kazin hupenda kuvaa nguo za vitenge za heshima. nikiwa safari hasa za kuja Dar. hependelea visuruali(Modal) ,leggings na top dresses na top ndefu. some times hutegemea unaenda wapi na kwa nani, kufanya nini.
 
Back
Top Bottom