Nilivyokwepa kusingiziwa mimba 3.

Mtoto niimani mwanamke akishakwambia kuwa mimba/mtoto niwako basi huna haja yakukataa kwamaana amekuamini na ndiomana amekukabidhi kiumbe. Wabaya wale vigeugeu mimba mnapewa wanaume zaidi yammoja ni hatariii sana
Kweli kuna baadhi ya wanawake wa ajabu wanabambikiza wanaume zaidi ya mmoja mimba. Kuna mwanamke mmoja kawabambikiza wanaume wawili mimba na wote wanalea mtoto aliyezaliwa. Hawajuani na hawajawahi kuonana. Mwanamke ametengeneza kadi mbili za kliniki zenye majina mawili tofauti....anapiga hela za matunzo kutoka kwa wanaume wote wawili. Sijui hatima yake itakuwa nini. [emoji32][emoji32][emoji32][emoji32]

Nayaona magunia mawili ya mkaa yanaandaliwa na mwanaume aliyetapeliwa mimba. Hivi wanawake huwa wanataka nini?
 
Mkuu walikuwa wanakubali kutoa mkojo huku wakijua kuwa wametOmbwA kavu na wanaume wengine? Wanawake wana akili ndogo sana I see!!
 
Huyo mwongo, mkojo wa mtu anaukingaje kirahisi hivo, tena mtu aliyedhamiria.
Tuko wawili ndani ushindwe kunipa mkojo, unaingia bafuni unakojoa napima.
 
Mkuu walikuwa wanakubali kutoa mkojo huku wakijua kuwa wametOmbwA kavu na wanaume wengine? Wanawake wana akili ndogo sana I see!!
Walikuwa walikataa navaa sura ya kanda maalum, anauleta mwenyewe.
 
Huyo balaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama wewe ndo haujaelewa sema tu tukusaidie maana wenzio walioelewa walishanijibu maana hilo langu halikuwa swali bali lilikuwa jibu
huelewi unachokijibu
 
Kwahiyo tukiwaambia ukweli kuwa watoto siyo wenu ndo mtakubali kulea kama sisi tunavyokubali kulea?
 
Walikuwa walikataa navaa sura ya kanda maalum, anauleta mwenyewe.
Du! Heshima kwako mkuu. Ina maana walikuwa wanapanua mapaja unagema mkojo mwenyewe au walikuwa wanagema wenyewe? Nakukubali sana kiongozi wangu. Hivi ndivyo mwanaume unavyotakiwa kuwa, vinginevyo sasa hivi ungekuwa unalea watoto 3 wa wanaume wenzako. Hatariiiii!!!! 🙄 😳 😎😵😡
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna mwanamke namfahamu kasingizia mtoto kwa wanaume wawili. Anakula tu mpunga.

Kuna mwingine namfahamu kasingizia mimba kwa jamaa, kaona msababishaji hana future basi akasingizia kwa mwingine.
 
Umeshasema wamekubali kulea baada ya kujua hali halisi ila siyo kabla kwahiyo na ninyi mkizaa nje wake zenu wakakataa kulea watoto wenu wa nje mtawaelewa?
Akikataa kulea mtoto wangu wa nje nitamuelewa kabisa, matendo yangu (mazuri au mabaya) yasiwe obligations kwake. Ni hiari yake

Lakini kusingiziwa mimba Ni HAPANA. Niambie ukweli kuwa una ujauzito na sio wangu basi nibaki na options.
 
Haya
Akikataa kulea mtoto wangu wa nje nitamuelewa kabisa, matendo yangu (mazuri au mabaya) yasiwe obligations kwake. Ni hiari yake

Lakini kusingiziwa mimba Ni HAPANA. Niambie ukweli kuwa una ujauzito na sio wangu basi nibaki na options.
 
Mbona wapo wanawake wanaletewa watoto wa wanawake wenzao (michepuko ya waume zao) na wanalea?
USICHANGANYE MA FILE KWA KUTAKA KUSHINDANA, PIA HAO WANALEA WANAJUA FIKA WAZI SIO WAOAU WA MICHEPUKO SIO KUDANGWANYWA KUWA MIMBA YAKO AU MTOTO WAKO
 
Ndo maana nimeuliza swali hapo juu kuwa je wake zenu wakianza kuwaambia ukweli kuwa watoto siyo wenu ndo mtakubali kuwalea?
USICHANGANYE MA FILE KWA KUTAKA KUSHINDANA, PIA HAO WANALEA WANAJUA FIKA WAZI SIO WAOAU WA MICHEPUKO SIO KUDANGWANYWA KUWA MIMBA YAKO AU MTOTO WAKO
 
Ndo maana nimeuliza swali hapo juu kuwa je wake zenu wakianza kuwaambia ukweli kuwa watoto siyo wenu ndo mtakubali kuwalea?
sasa hapo ndio yes au no lakini hakuna kulaghaiwa..kama ambayo wanalea wetu au wengine hawataki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…