Naam habari wakulungwa mabaharia wa nchi kavu na majini mpaka angani, ni miaka imepita toka niponee kuuawa mara kadhaa na raia na wachawi na rafiki zangu.
Shida inaanzia nlipokuwa bwana mdogo, nilikuwa nashine sana karibu kijiji kizima sifa zangu zilienea sio wakubwa wala wadogo.
Muda wote nilizungukwa na marafiki mabraza wakubwa pia walikuwa wananisikiliza. Stori zangu nilikuwa mdogo lakini nilikuwa na swaga za kikubwa' nilikuwa hodari wa kusimulia kitu mpaka kikaeleweka.
Kwakweli nilipendwa visenti vya pipi pipi nilikuwa sikosi kutoka kwa mabroo wakubwa wakubwa walipo kuwa wananiagiza mambo yao.
Shida ilianza pale nilipofika la nne, nilipiga mtihani wa mock nikawa wanne wilaya nzima na wa pili kwa shule.
Bhasi kipindi matokeo yanatoka mimi nilikuwa mjini, shule ilifungwa. Basi bwana nliporudi nikapewa taarifa hizo na sista zangu zawadi walishazitumia.
Miaka ikasonga nikatoboa la saba hapo ndo shida ikaanza nikarudi kitaa, familia ikawa imehamia mjini nikabaki mi na brazang mmoja. Nasista zangu
Life likaendelea nakumbuka siku moja tumeenda kupiga kibarua cha kusomba mchanga mimi brazang na sista mimi niko mbele kichwani nimebeba mchanga kwenye kiroba.
Nikateleza nikaangukia makalio huku mchanga uko kichwani shingo ikazama ndani hapo nimetoa macho kifo nakiona hichi hapa.
Nilishikwa na kiu toka nizaliwe sijawahi shikwa brazang amefika namu muonyesha ishara aniletee maji bahati nzuri nyumba ilikuwa mbali.
Akanirudia huku wakaanza kunikanda kanda shingoni baaada ya muda nikajiskia poa..sijabeba tena mchanga huko baadae usiku akaja.
Mzee mmoja ana nyumba karibu na pale nilipoanguka. Anaulizia anaendeleaje huyu wakamwambia hajambo kakasunya kaka ondoka...
Baadae tukaja gundua kale kazee ni kachawi balaa kalikuwa kananitaka kunikill...na kama wangenipa maji ilikuwa nife...
Life likasonga siku moja niko nyumbani peke yangu nimejilaza tu mlango nimeacha wazi, saa kumi na moja hivi
Nikashikwa na kizungu zung naona nyumba inazunguka nilitambaa..hadi nje kifua wazi nkakimbia mpaka kwa jirani nikajitupa kwenye pipa lamaji..kama kichaa
Jirani akatoka akanichomoa kuniuliza hata sielewi naona marue rue tu naona mawatu hata sielewi meus yamejipaka mavitu meupe yananiita kwa ishara. .
Nikamkumbatia jirani kwanguvu ..badae browang na ssta walivyorud nikawaeleza ikabd wanisafirishe mjin kwa wazazi.. part 2 nilivyochomolewa na wachawi kwenye neti.
Shida inaanzia nlipokuwa bwana mdogo, nilikuwa nashine sana karibu kijiji kizima sifa zangu zilienea sio wakubwa wala wadogo.
Muda wote nilizungukwa na marafiki mabraza wakubwa pia walikuwa wananisikiliza. Stori zangu nilikuwa mdogo lakini nilikuwa na swaga za kikubwa' nilikuwa hodari wa kusimulia kitu mpaka kikaeleweka.
Kwakweli nilipendwa visenti vya pipi pipi nilikuwa sikosi kutoka kwa mabroo wakubwa wakubwa walipo kuwa wananiagiza mambo yao.
Shida ilianza pale nilipofika la nne, nilipiga mtihani wa mock nikawa wanne wilaya nzima na wa pili kwa shule.
Bhasi kipindi matokeo yanatoka mimi nilikuwa mjini, shule ilifungwa. Basi bwana nliporudi nikapewa taarifa hizo na sista zangu zawadi walishazitumia.
Miaka ikasonga nikatoboa la saba hapo ndo shida ikaanza nikarudi kitaa, familia ikawa imehamia mjini nikabaki mi na brazang mmoja. Nasista zangu
Life likaendelea nakumbuka siku moja tumeenda kupiga kibarua cha kusomba mchanga mimi brazang na sista mimi niko mbele kichwani nimebeba mchanga kwenye kiroba.
Nikateleza nikaangukia makalio huku mchanga uko kichwani shingo ikazama ndani hapo nimetoa macho kifo nakiona hichi hapa.
Nilishikwa na kiu toka nizaliwe sijawahi shikwa brazang amefika namu muonyesha ishara aniletee maji bahati nzuri nyumba ilikuwa mbali.
Akanirudia huku wakaanza kunikanda kanda shingoni baaada ya muda nikajiskia poa..sijabeba tena mchanga huko baadae usiku akaja.
Mzee mmoja ana nyumba karibu na pale nilipoanguka. Anaulizia anaendeleaje huyu wakamwambia hajambo kakasunya kaka ondoka...
Baadae tukaja gundua kale kazee ni kachawi balaa kalikuwa kananitaka kunikill...na kama wangenipa maji ilikuwa nife...
Life likasonga siku moja niko nyumbani peke yangu nimejilaza tu mlango nimeacha wazi, saa kumi na moja hivi
Nikashikwa na kizungu zung naona nyumba inazunguka nilitambaa..hadi nje kifua wazi nkakimbia mpaka kwa jirani nikajitupa kwenye pipa lamaji..kama kichaa
Jirani akatoka akanichomoa kuniuliza hata sielewi naona marue rue tu naona mawatu hata sielewi meus yamejipaka mavitu meupe yananiita kwa ishara. .
Nikamkumbatia jirani kwanguvu ..badae browang na ssta walivyorud nikawaeleza ikabd wanisafirishe mjin kwa wazazi.. part 2 nilivyochomolewa na wachawi kwenye neti.