Anakupa unachoomba kile usichokiomba hupewi na vingine ni akiba kuna namna Mungu anakunyooshea njia, kuna mtu alikua anasimulia namna maombi yako ya kila siku kila siku kila siku ni yapi na yanatakiwa yaweje akasema maombi ni akiba yako ya baadae au wewe focus yako ni ipi sasa kile unachokipa uzito au focus kwenye akili yako hilo ndio ombi lako mfano km focus yako ni simu kali basi utashika simu kali lazima na km focus yako ni nyumba kubwa basi utajenga ipo siku au utaishi kwenye nyumba kubwa Mungu ataweka humo kukuonyesha na km focus yako usiugue au kupata ajali Mungu atakuepusha km focus yako ni wanawake Mungu atakupa wanamke wa kila aina uchague km focus yako ni pesa trust me utashika pesa mpaka pesa ziseme pesaNikweli, Mungu akupi vyote... ndugu
Mdogo mwenzio huyo, sisi wazee tuna-push ili yote ya kheri yaende vizuri.Muda wangu wa kuolewa bado
Do you want to get married?Kwenye umalaya sio Real love.
Ana hisia kali matukioKwamba sehemu majambazi wakitaka kuvamia unaondoka kwanza ndo wanavamia? Inavyoonekana huyo jambazi ndo wewe mwenyewe sasa utajikutaje eneo la tukio?
Some decades back nikiwa mdogo ilikuwa nasafiri kwenda nchi yoyote ninayoiwaza alimradi nimepata visa bila ya kuwaza nikishafika nitaanzia wapi and life used to be fun and adventurous, life is for risks takers. Kumgundua tapeli you don't just assume kwa mtu fulani ni tapeli but you get the whole thing through hanging out together, interacting at personal levels.Weeee.... online huku ndo Kuna matapeli kama wanavyolizwa watu kuagiza magari Japan.
Asante.Endelea kumuamini Mwenyezi Mungu na usiache kamwe, hayo mengine uliyoyazungumza yanawezekana kurekebishika, unahitaji attention wakati unazungumza?, jifunze mbinu rahisi za mawasiliano ( Communication Skills), Hii itakusaidia pia kupata mademu wakali 😄
Uko sahihiSome decades back nikiwa mdogo ilikuwa nasafiri kwenda nchi yoyote ninayoiwaza alimradi nimepata visa bila ya kuwaza nikishafika nitaanzia wapi and life used to be fun and adventurous, life is for risks takers. Kumgundua tapeli you don't just assume kwa mtu fulani ni tapeli but you get the whole thing through hanging out together, interacting at personal levels.
Unachekesha yeye mwenyewe ameshakwepa muda sana 😂Straight like a ruler, safi sana. Action speaks louder than words, hebu mmwagie mawili matatu via DM naamini mtayajenga tu.