Nilivyo Jariwa na Mwenyezi Mungu

Nilivyo Jariwa na Mwenyezi Mungu

Tman900

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2017
Posts
969
Reaction score
3,067
Mimi ninaa amini ktk Ukuu wa Mungu, ila siwezi to ufafanuzi mpana ktk hilo.

Ila katika Maisha yangu binafsi Huwa namshukuru Mungu kwa Kunijaria Bahati
Hii Bahati ninayo toka kuzaliwa.

1. Biashara
Nikifanya Biashara huwa inafanikiwa, na popote, Jambo lolote ni ninalolifanya kwa Nia ya Biashara huwa linafanikiwa.

2. Bahati ya Nyumba au Viwanja
Mungu amenijaria nikiwa na Umri wa Miaka 25 tu nimemiliki nyumba yangu ya kwanza.

3. Bahati ya kuaminiwa ktk makubaliano ya kazi na Pesa.

4. Kama Sehemu panataka kuvamiwa na majambazi au tukio la uhalifu, mara Nyingi huwa nikiondoka au siku ya tukio sitoenda. Mungu huwa ananiepusha sana na haya matukio.

MAMBO AMBAYO MUNGU AJANIJARIA
1. Elimu yaani kua na Degree au zaidi..
Nilijitaidi nisome ila wapi, MUNGU akunijaria kwenye Elimu

2.Mapenzi, Mungu ajanijaria upendo, yaani Mimi kupendwa na Wanawake, hata nifanye jambo Gani Sina mvuto kwa mwanamke kuvutiwa na Mimi.

3.Hata niende wapi au nifanye jambo jema kiasi Gani watu huwa Hawana attention na mimi.
 
Mimi ninaa amini ktk Ukuu wa Mungu, ila siwezi to ufafanuzi mpana ktk hilo.

Ila katika Maisha yangu binafsi Huwa namshukuru Mungu kwa Kunijaria Bahati
Hii Bahati ninayo toka kuzaliwa.

1. Biashara
Nikifanya Biashara huwa inafanikiwa, na popote, Jambo lolote ni ninalolifanya kwa Nia ya Biashara huwa linafanikiwa.

2. Bahati ya Nyumba au Viwanja
Mungu amenijaria nikiwa na Umri wa Miaka 25 tu nimemiliki nyumba yangu ya kwanza.

3. Bahati ya kuaminiwa ktk makubaliano ya kazi na Pesa.

4. Kama Sehemu panataka kuvamiwa na majambazi au tukio la uhalifu, mara Nyingi huwa nikiondoka au siku ya tukio sitoenda. Mungu huwa ananiepusha sana na haya matukio.

MAMBO AMBAYO MUNGU AJANIJARIA
1. Elimu yaani kua na Degree au zaidi..
Nilijitaidi nisome ila wapi, MUNGU akunijaria kwenye Elimu

2.Mapenzi, Mungu ajanijaria upendo, yaani Mimi kupendwa na Wanawake, hata nifanye jambo Gani Sina mvuto kwa mwanamke kuvutiwa na Mimi.

3.Hata niende wapi au nifanye jambo jema kiasi Gani watu huwa Hawana attention na mimi.
Pole sana mkuu kwahiyo una biashara na pesa zako, na nyumba yako na haujaoa?
 
MAMBO AMBAYO MUNGU AJANIJARIA
1. Elimu yaani kua na Degree au zaidi..
Nilijitaidi nisome ila wapi, MUNGU akunijaria kwenye Elimu

2.Mapenzi, Mungu ajanijaria upendo, yaani Mimi kupendwa na Wanawake, hata nifanye jambo Gani Sina mvuto kwa mwanamke kuvutiwa na Mimi.

3.Hata niende wapi au nifanye jambo jema kiasi Gani watu huwa Hawana attention na mimi.
Hivi vyote vya kipuuzi tu....Yale uliyobarikiwa mwanzo ndiyo maisha yenyewe sasa👊
 
Mimi ninaa amini ktk Ukuu wa Mungu, ila siwezi to ufafanuzi mpana ktk hilo.

Ila katika Maisha yangu binafsi Huwa namshukuru Mungu kwa Kunijaria Bahati
Hii Bahati ninayo toka kuzaliwa.

1. Biashara
Nikifanya Biashara huwa inafanikiwa, na popote, Jambo lolote ni ninalolifanya kwa Nia ya Biashara huwa linafanikiwa.

2. Bahati ya Nyumba au Viwanja
Mungu amenijaria nikiwa na Umri wa Miaka 25 tu nimemiliki nyumba yangu ya kwanza.

3. Bahati ya kuaminiwa ktk makubaliano ya kazi na Pesa.

4. Kama Sehemu panataka kuvamiwa na majambazi au tukio la uhalifu, mara Nyingi huwa nikiondoka au siku ya tukio sitoenda. Mungu huwa ananiepusha sana na haya matukio.

MAMBO AMBAYO MUNGU AJANIJARIA
1. Elimu yaani kua na Degree au zaidi..
Nilijitaidi nisome ila wapi, MUNGU akunijaria kwenye Elimu

2.Mapenzi, Mungu ajanijaria upendo, yaani Mimi kupendwa na Wanawake, hata nifanye jambo Gani Sina mvuto kwa mwanamke kuvutiwa na Mimi.

3.Hata niende wapi au nifanye jambo jema kiasi Gani watu huwa Hawana attention na mimi.
Hongera Kwa uliyo jaaliwa MUNGU akupi vyote ndio kanuni yake katika uumbaji mana yake atujakamilika.
 
MAMBO AMBAYO MUNGU AJANIJARIA
1. Elimu yaani kua na Degree au zaidi..
Nilijitaidi nisome ila wapi, MUNGU akunijaria kwenye Elimu

2.Mapenzi, Mungu ajanijaria upendo, yaani Mimi kupendwa na Wanawake, hata nifanye jambo Gani Sina mvuto kwa mwanamke kuvutiwa na Mimi.

3.Hata niende wapi au nifanye jambo jema kiasi Gani watu huwa Hawana attention na mimi.
Hivi ndivyo vitu ambavyo hukua unamuomba Mungu tangu ukiwa mdogo
 
Hii Bahati ninayo toka kuzaliwa.

1. Biashara
Nikifanya Biashara huwa inafanikiwa, na popote, Jambo lolote ni ninalolifanya kwa Nia ya Biashara huwa linafanikiwa.

2. Bahati ya Nyumba au Viwanja
Mungu amenijaria nikiwa na Umri wa Miaka 25 tu nimemiliki nyumba yangu ya kwanza.

3. Bahati ya kuaminiwa ktk makubaliano ya kazi na Pesa.

4. Kama Sehemu panataka kuvamiwa na majambazi au tukio la uhalifu, mara Nyingi huwa nikiondoka au siku ya tukio sitoenda. Mungu huwa ananiepusha sana na haya matukio
Hivi ndio vitu umekua ukimuomba MUNGU tangu ukiwa na umri wa mwaka mmoja
 
Back
Top Bottom