Pleasepast
JF-Expert Member
- May 30, 2023
- 330
- 458
Jamii Forum bana inaonekana ni mtandao wa wambea wambea yani kila mtu akileta thread basi ujue kaambiwa na mtu uo kama sio umbea ni nini 😂😂😂 ifike hatua watu muwe wawazi sema tu ni wewe ndio umeliwa na Baba mkwe yaisheHaya mje wana
Kuna dada amemwaga maji huko
Alitembea na baba mkwe miaka ya nyuma kama 3.
Baada ya miaka 3 akaja kupata mchumba, wakapendana sana kijana akachanganyikiwa
Kijana kumpeleka nyumbani kutambulisha, be-hold baba alietembea nae ndio baba mkwe wake
Sasa ananiuliza hapa afanyaje?
Je, wewe unamsaidiaje huyu binti?