Nilitarajia Polepole aweke hadharani ukweli juu ya kifo cha hayati Magufuli

Nilitarajia Polepole aweke hadharani ukweli juu ya kifo cha hayati Magufuli

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,281
Reaction score
7,061
Aliposema kuwa kesho tusilaumiane juu ya nitakachoongea mimi binafsi nilitalijia ataweka wazi juu ya hili suala.

Je ni kweli aliugua? Na kama aliugua mbona watanzania walifichwa kwa zaidi ya wiki tatu bila kumuona hayati hadharani? Je kulikuwa na uzembe?

Polepole hajagusia kabisa!
 
Aliposema kuwa kesho tusilaumiane juu ya nitakachoongea mimi binafsi nilitalijia ataweka wazi juu ya hili suala.

Je ni kweli aliugua? Na kama aliugua mbona watanzania walifichwa kwa zaidi ya wiki tatu bila kumuona hayati hadharani? Je kulikuwa na uzembe?

Polepole hajagusia kabisa!
Magufuli alizungukwa na maradhi sugu kama Kichaa, Diabetes, HIV, Herpes Zoster, na kifaa cha kuongeza mapigo ya moyo (defibrillator) kilikuwa kimechakaa. Hivyo COVID-19 ikapita naye kirahisi.

Ashukuriwe Mungu kwa kumuondoa yule shetani
 
Ikiwa ukweli uliosemwa kuhusu kifo chake hauaminiki maana yake una ukweli mwingine unaujua., Sasa unataka akwambie lipi?

Msibebeshe watu misalaba yenu
Acha kunilazimisha nijue ukweli mwingine.
 
Magufuli alizungukwa na maradhi sugu kama Kichaa, Diabetes, HIV, Herpes Zoster, na kifaa cha kuongeza mapigo ya moyo (defibrillator) kilikuwa kimechakaa. Hivyo COVID-19 ikapita naye kirahisi.

Ashukuriwe Mungu kwa kumuondoa yule shetani
We nimku.... Du
 
Aliposema kuwa kesho tusilaumiane juu ya nitakachoongea mimi binafsi nilitalijia ataweka wazi juu ya hili suala.

Je ni kweli aliugua? Na kama aliugua mbona watanzania walifichwa kwa zaidi ya wiki tatu bila kumuona hayati hadharani? Je kulikuwa na uzembe?

Polepole hajagusia kabisa!
Nimewonya several times hapa JF kuwa stop speculations.... watu speculated a lot......
 
Nilimsikia akisema anacho kiapo kinachomkataza kusema Siri alizozijua akiwa kazini na hapaswi kuzisema hata baada ya kuacha KAZI.

Hivyo Kuna mambo hutayasikia kama ulivyotarajia
Basi kama ni hivyo hapaswi kusema atakacho kusema wasilaumiane
 
Magufuli alizungukwa na maradhi sugu kama Kichaa, Diabetes, HIV, Herpes Zoster, na kifaa cha kuongeza mapigo ya moyo (defibrillator) kilikuwa kimechakaa. Hivyo COVID-19 ikapita naye kirahisi.

Ashukuriwe Mungu kwa kumuondoa yule shetani
Kumbe wanakufa mashetani peke yao? Aah!! Kifo ni kifo tu na wazuri hawafi. Namkumbuka Mzee Mwinyi hii kauli ilitoka akiwa hai na baada ya siku chache akafariki, nikapiga kifua nikiirudia.
 
Aliposema kuwa kesho tusilaumiane juu ya nitakachoongea mimi binafsi nilitalijia ataweka wazi juu ya hili suala.

Je ni kweli aliugua? Na kama aliugua mbona watanzania walifichwa kwa zaidi ya wiki tatu bila kumuona hayati hadharani? Je kulikuwa na uzembe?

Polepole hajagusia kabisa!
Kwani wewe umezuiliwa kuliongelea hilo kama walijua uzuri? Au ndio yaleyale ya wakinukishe wengine wewe ubaki kushangilia sio?
 
Nenda kazikwe naye
1000057818.jpg
 
Magufuli alizungukwa na maradhi sugu kama Kichaa, Diabetes, HIV, Herpes Zoster, na kifaa cha kuongeza mapigo ya moyo (defibrillator) kilikuwa kimechakaa. Hivyo COVID-19 ikapita naye kirahisi.

Ashukuriwe Mungu kwa kumuondoa yule shetani
Ndugu daktari ulipompima nafikili Kuna karatasi za majibu unazo tuwekee picha na sisi tuthibitishe unachokisema
 
Back
Top Bottom