Natumai ni wazima wote popote mlipo.
Bila kuwachosha nikwamba'
Ni muda wa mwaka mmoja tangu niachane naye.
Nilikuwa na dada mmoja ambaye alikuwa ni mpenzi wangu.
Kwa kipindi chote hicho nilichokuwa naye sikuwahi kumwingia kimwili kwasababu alikuwa anakataa sana kwa lengo la kusubiri mpaka ndoa.
Siku moja kulikuwa na sherehe ya harusi nyumbani kwao ikabidi na mimi nishiriki.
Baada ya pirika kuisha kwenye mda wa saa 8 za uski nikatafuta rodge ya kulala kwasababu nisingeweza kurudi nyumban ilikuwa ni usiku sana.
Basi na yeye akaja tukalala wote.
Kama mjuavyo mambo ya giza ni ya shetani tukajikuta tunashawishika na kuvunja amri ya 6.
Kati kati ya gemu nikaanza kuskia harufu ya kinyesi sikujua inatoka wapi, mimi nikazid kumiliki mpira ile nataka kuchange formation ya mchezo nikaona kinyesi makalioni kwake nilishtuka sana.
Nikamuuliza kulikoni?
Akajibu na yeye hajui nikajikuta sina hamu ya tendo tena.
Akajiswafi na tukaendelea na usingizi.
Siku nyingne nikamwomba gemu tena nikakuta ile hali inajirudia tena.
Kiukweli nikapoteza hamu naye kabisa kwasababu kila nikimuuliza anasema na yeye hajui.
Nikaanza kuhisi kuwa atakuwa anapigwa mkia nyuma.
Sasa sijajua hii hali huwa inawatokea hata nyinyi wanawake wengine?
.......................
................
Cc miss neddy , Vaislay , miss chagga , a.rahabu , lara1 , Matola , Dinazarde , ICHANA , Asprin , na wengne wengi ambao sijawataja
Bila kuwachosha nikwamba'
Ni muda wa mwaka mmoja tangu niachane naye.
Nilikuwa na dada mmoja ambaye alikuwa ni mpenzi wangu.
Kwa kipindi chote hicho nilichokuwa naye sikuwahi kumwingia kimwili kwasababu alikuwa anakataa sana kwa lengo la kusubiri mpaka ndoa.
Siku moja kulikuwa na sherehe ya harusi nyumbani kwao ikabidi na mimi nishiriki.
Baada ya pirika kuisha kwenye mda wa saa 8 za uski nikatafuta rodge ya kulala kwasababu nisingeweza kurudi nyumban ilikuwa ni usiku sana.
Basi na yeye akaja tukalala wote.
Kama mjuavyo mambo ya giza ni ya shetani tukajikuta tunashawishika na kuvunja amri ya 6.
Kati kati ya gemu nikaanza kuskia harufu ya kinyesi sikujua inatoka wapi, mimi nikazid kumiliki mpira ile nataka kuchange formation ya mchezo nikaona kinyesi makalioni kwake nilishtuka sana.
Nikamuuliza kulikoni?
Akajibu na yeye hajui nikajikuta sina hamu ya tendo tena.
Akajiswafi na tukaendelea na usingizi.
Siku nyingne nikamwomba gemu tena nikakuta ile hali inajirudia tena.
Kiukweli nikapoteza hamu naye kabisa kwasababu kila nikimuuliza anasema na yeye hajui.
Nikaanza kuhisi kuwa atakuwa anapigwa mkia nyuma.
Sasa sijajua hii hali huwa inawatokea hata nyinyi wanawake wengine?
.......................
................
Cc miss neddy , Vaislay , miss chagga , a.rahabu , lara1 , Matola , Dinazarde , ICHANA , Asprin , na wengne wengi ambao sijawataja