Nilisema kabla

Nilisema kabla

Msandawe Halisi

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2010
Posts
647
Reaction score
351
Na sasa nalisema tena. Msichana yeyote anayefikiria, ni jukumu la Boyfreind kumpa pesa anaitajika kuchekiwa akili kama yupo timamu ama laa. Je Boyfreind ni baba yako? Mume wako?

Tumieni akili wasichana.
 
Wasichana mnaitwa mje kufunguka huku
 
Ngoja watakuja. Aafu ni wakali kishenzi kama ni haki yao.
 
ni jukumu lako kumpendezesha umpendae ,kama hutaki kanunue sabuni hakuna papuchi ya bure sikuhizi
 
mtoa mada umeongea kitu cha maana, hawa viumbe ndio wanaochangia indirect/direct kuifanya dunia kutokuwa sehem salama ya kuishi!!
 
ni jukumu lako kumpendezesha umpendae ,kama hutaki kanunue sabuni hakuna papuchi ya bure sikuhizi

Papuchi ya bure wakati nyie ndo wapata raha zaidi, mnapiga kelele za ajabu ajabu....na msiporidhishwa ni maneno kibao mara oh boyfriend wangu hanifikishi kileleni!!!
 
Papuchi ya bure wakati nyie ndo wapata raha zaidi, mnapiga kelele za ajabu ajabu....na msiporidhishwa ni maneno kibao mara oh boyfriend wangu hanifikishi kileleni!!!

alafu muwajibikaji ni mwanaume yaani huruma sana kwakweli..mpaka jasho jekundu linamtoka!
 
Heri hata ambaye hajaajiriwa,kuna wengine wana kazi zao za maana tu ila wasumbufu balaa
 
Na mvuluana yeyote kumuomba papuchi girlfriend anatakiwa akchekiwe akili huyo mvulana, girlfriend sio mke wako wala mama yako, Tuwacheni Tulale
 
Halafu wanalilia haki sawa, haki sawa itapatikana vipi ilhali nyie mnajifanya wakuhudumiwa tu ila siku.Kwrli wanaboa sana. Nara moja moja poa lakini kila kitu jamani duh?
 
Wanaume mnaboa kitu kimoja, kama pesa ilikua mfukoni mwako, je uliwekewa bastola kichwani ili uitoe kwa nguvu???
Acheni kupotezea wanawake muda kwa weakness zenu wenyewe.
 
Usipohonga ukimegewa usilalamike tulia kimya!kwahyo wewe unajisikia raha kumsifia mwanamke wako amependza mara ooh unanukia vizuri mara baby nguo yako nzuri,unazani hzo pesa anaokota?ukitaka asiyekuomba pesa katafute wakuja nayd akishaujua mji imekula kwako
 
Tarehe mbaya hizi....next week full kula bata
 
Back
Top Bottom