BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,022
Kwa umri wako sidhani kama hili ni swali la kutojua jibu.
Nilikuwa na mchumba niliyetarajia kufunga nae ndoa 2002 lakini ghafla alinikimbia.Sasa hivi ananipigia simu akitaka ni msamehe na turudiane na mimi sasa hivi nina mke na kila nikimwambia hanielewi nifanyeje?