dalili za utumwa wa kifikraNiliposoma kichwa cha habari nikajua sio Tanzania.
daah umenikumbusha tukio moja la jamaa tukiwa ndani ya daladala anasema konda naomba chenji yangu nashuka kituo kinacho fuata konda anasema umenipa nauli mda gani jamaa nimekupa 5000 konda anasema sijachukua nauli ya mtu humu ndani kaulza abiria eti kuna mtu nimechukua nauli yake watu bado jamaa ilibidi abiria watukane na konda akamshushaUSA wanaishi Binadamu waliopewa Socialization bora kabisa siyo huku kwetu. Nauli tu Daladala tunawaibia Makondakta.
kweli we dare talk openlyHongera Mkuu kwa kuishi USA.
Lengo lako lilikua hilo tu,kutujuza waishi mbele.
Hiyo inatokana na facilitation,nani asiyejua kuwa kwenye viwanja vya ndage vya huko majuu ukiangusha hata sindano ndogo kuna kamera inarusha tukio hilo kwenye chumba cha security kutokana na hiyo hakuna mtu anaweza kuokota kisicho chake maeneo hayo.Ila ukiwa hujui utaumbika sana,kwani watu wangapi tena wakubwa waliwahi kuumbuka wakiiba super market,ATM,Sasa angeisahau pup,masoko ya discarded items,au mitaa yenye misongamano kama angeipata ,ajue wapigaji wapo tu,sio Asia,America,Europe,Africa na hata Australia wapo tu,Mie nilidondosha nyanya sokoni mfuko ulikuwa umetoboka ile kufika getini teja mmoja akaniambia nyanya zinadondoka kutazama mfuko umechanika kugeuka nyuma anakuja kuli amebeba Rambo nyingine anasema bro nyanya zako hizi hapa. Kumbe hata bongo wapo waaminifu wenye utu.
Mkuu nimecheka sana na iyo story yakoAah Mkuu tulivyomiti alijiona fala la mwisho mwisho.
Usinichekeshe. na nikupe pole sana. Hii imetokea na ni ndugu yangu wa karibu tu kwa kuwa sio mimi binafsi siwezi kukutajia jina wala ofisi! Dhumuni langu ni kuonyesha tu watu wenye imani Tanzania bado wako! Mfano ni huyu Dreva wa Bajaji ambaye mind you hakuwa hata na pesa ya mafuta ( hence hana pesa) lakini alikuwa anastrugle si kuuza Laptop apate angalau milioni bali apate thousands ya kumrudishia Ndugu yangu laptop. Sikutaka kusema mengi ila muhusika alimpa pesa nyingi tu za shukrani kwani kwake it was not much about Laptop rather it was his contents ndani ya Laptop na kubwa zaidi ni credibility yake Ofisini.Utunzi wako unalugha gani tena?
Ni kweli kabisa wenye utu wapo sana tu!Asante kwa kutupatia na sisi mfano mzuri kaka sio wa TZ wote majuha
Kivipi...??dalili za utumwa wa kifikra
Nilifikiri hapa nyumbani ningekupa hongera. Kwa huko si issue kihiivyoThank Jesus!
Nilikuwa nasafiri kutoka Phoenix Arizona kwenda Bakersfield California nikiwa airport nimekaa na laptop yangu nje ya begi lake. Baadae nikaondoka na begi ya komputa kumbe komputa yenyewe imebaki pale chini nilipokuwa nimeiweka.
Baada ya kufika katika jimbo la California nikiwa nyumbani kwa mwenyeji wangu, ndio nikasema ngoja nitoe laptop yangu niangalie emails kadhaa, kufungua begi la komputa hakukuwa na komputa ndani ya bag, ndipo nikakumbuka nitakuwa nimeiacha kule airport Arizona.
Namshukuru Mungu baada ya mawasiliano na watu wa airport ya Arizona waliniambia iliokotwa na kupelekwa kwenye "Lost and Found Department" na wakafanya mpango wa kuituma kutoka Arizona mpaka hapa California.
WAMENILETEA MPAKA MLANGONI! NIMEWAZA TU KWA SAUTI INGEKUWA IMEPOTELEA KWENYE VIWANJA VYETU VYA HUKO BONGO NINGEIPATA KWELI AU NDIO NINGEHESABU MAUMIVU??
Hahahaaa! Bila shaka alihisi kengere ya hatari.Jamaa amepanic.Hata mi nimejiuliza alibebaje beg tupu bila kuhisi halina laptop ndani??
Kazi ya kua "msemaji" wa member wa jf umeianza lini?Kama kaipata kupitia radio aseme ameandika?!au
Wishing u the same, QueenKazi ya kua "msemaji" wa member wa jf umeianza lini?
Msome alivyojitetea kwenye comment yake [HASHTAG]#108[/HASHTAG] Siku nyingine uache kiherehere na kukurupuka hovyo.