CleverKING
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 8,503
- 25,466
Haikua "specified" Mkuu.Macbook Air.....
Haikua "specified" Mkuu.Macbook Air.....
Nimewaza kwa maandishi tu....Haikua "specified" Mkuu.
Uko sahihi kabisa,nchi kama US sasa hivi wapo kwenye "High alert security" hasa hayo maeneo uliyoyataja hapo juu,since 9/11 terrorist attack,Hata Europe/USA mabegi na mzigo uliosahaulika wengi wanaita polisi kwasababu ya security, wanajua ni mtego. Hio ndio sababu kuu ukisahau mzigo airport au railway station utaupata tu.
ni ngumu sana kupoteza mzigo airpot.. hapo umemaanisha airpot za ughaibuni tu au airport zote?Uko sahihi kabisa,nchi kama US sasa hivi wapo kwenye "High alert security" hasa hayo maeneo uliyoyataja hapo juu,since 9/11 terrorist attack,
Hata hiyo laptop ya mleta mada si ajabu Polisi walishaifanyia "full inspection" na baada ya kujiridhisha ndio wakairejesha kwa mwenyewe,ni ngumu sana kupoteza mzigo Airport.
Nawaza tu....
Hivi inawezekana mtu ukabeba begi la laptop yako bila kuhisi kua begi limekua jepesi sana..!! so inamaana laptop haimo ndani ya begi?
Mpaka unafika huko uendako "unachukua begi na kulifungua" baada ya kulifungua ndio unagundua hakuna laptop!?
Kama ni laptop yako na umeizowea basi utakua tu na hisia ya uzito wake,so hata kabla ya kulifungua begi utajua tu kua laptop haimo sio mpaka ufungue begi ndio ujue..!!
Uaminifu nakubaliana na wewe kua upo kwa baadhi ya States in USA,hilo nina experience nalo,BUT hii story yako ni kama umeamua kuwanywesha watu CHAI ya ndimu tu mkuu.
Hamna bhana pale airport kwetu kuna vijana waaminifu sana wizi hakuna kabisa kama unabisha siku ukija njoo uiache hapo uone kama hawatakuleteaThank Jesus!
Nilikuwa nasafiri kutoka Phoenix Arizona kwenda Bakersfield California nikiwa airport nimekaa na laptop yangu nje ya begi lake. Baadae nikaondoka na begi ya komputa kumbe komputa yenyewe imebaki pale chini nilipokuwa nimeiweka.
Baada ya kufika katika jimbo la California nikiwa nyumbani kwa mwenyeji wangu, ndio nikasema ngoja nitoe laptop yangu niangalie emails kadhaa, kufungua begi la komputa hakukuwa na komputa ndani ya bag, ndipo nikakumbuka nitakuwa nimeiacha kule airport Arizona.
Namshukuru Mungu baada ya mawasiliano na watu wa airport ya Arizona waliniambia iliokotwa na kupelekwa kwenye "Lost and Found Department" na wakafanya mpango wa kuituma kutoka Arizona mpaka hapa California.
WAMENILETEA MPAKA MLANGONI! NIMEWAZA TU KWA SAUTI INGEKUWA IMEPOTELEA KWENYE VIWANJA VYETU VYA HUKO BONGO NINGEIPATA KWELI AU NDIO NINGEHESABU MAUMIVU??
Kama kuna ka wivu vile,,Hongera Mkuu kwa kuishi USA.
Lengo lako lilikua hilo tu,kutujuza waishi mbele.
Kuna siku mtu alisahau bahasha nilipoiona nikaamua kumpelekea office kwake jibu alilonipa nibaki kinywa wazi alisema kama ingekuwa hela ungeniletea na maneno kibao basi mie nikamjibu kuna doc muhimu kuliko fedha. Kuna binadamu hawana shukrani unaweza kutenda wema ikageuka karaha next time unaamua tofautiNiliokota cm kwenye daladala na sikuizima jamaa akapiga nikapokea acha aanze kunipolomoshea matusi? Oooh we K hiyo simu haitokufikisha popote fala mwizi cjui nini mara nini Duh!!!
mi nikamwambia kama unapajua sehemu furani njoo nikupe cm yako.jamaa akaja ila akaja na wazee kama watatu ili wanisombe eti nimemuibia cm yake.
Nashkuru mungu muonekano wangu uliniokoa.
Airport nyingi tu hua kuna uaminifu,na hili limezidi zaidi katika miaka ya hivi karibuni na hasa baada ya 9/11 terrorist attack,ni ngumu sana kupoteza mzigo airpot.. hapo umemaanisha airpot za ughaibuni tu au airport zote?
kuna Mijitu inawaponza wengine.Kuna siku mtu alisahau bahasha nilipoiona nikaamua kumpelekea office kwake jibu alilonipa nibaki kinywa wazi alisema kama ingekuwa hela ungeniletea na maneno kibao basi mie nikamjibu kuna doc muhimu kuliko fedha. Kuna binadamu hawana shukrani unaweza kutenda wema ikageuka karaha next time unaamua tofauti
Wanakulazimisha kutenda usiyotaka......lakini usikatishwe na mtu kutenda lililojemakuna Mijitu inawaponza wengine.
Mkuu endelea tu na huo moyo wako wa uaminifu,usikatishwe tamaa na mtu mmoja tu,au usiihukumu jamii nzima kwa bad reaction ya mtu mmoja,tenda wema nenda zako usingoje shukrani,uaminifu ni moja ya siri kubwa sana katika kuyafikia mafanikio,keep it up Mkuu.Kuna siku mtu alisahau bahasha nilipoiona nikaamua kumpelekea office kwake jibu alilonipa nibaki kinywa wazi alisema kama ingekuwa hela ungeniletea na maneno kibao basi mie nikamjibu kuna doc muhimu kuliko fedha. Kuna binadamu hawana shukrani unaweza kutenda wema ikageuka karaha next time unaamua tofauti