miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
okey kwa hiyo yeye anabebwa na wanawake kumbe ni jinga.... atafute hela bwana aiseeni kua makonda wa daladala wanaitana stuff,so mfano ikitokea konda wa daladala nyingine hayuko kazini au gari mbovu ,etc na anataka kwenda sehemu ,atapanda daladala yeyote na konda wa hiyo daladala akimfikia wakati anakusanya nauli kwa abiria,atamwambia yule konda,''mi ni staff''. Akisema hivyo yule konda atajua kuwa yule ni staff mwenzake so hawezi kumdai nauli.