appoh
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 5,909
- 3,221
habari mkuu nina mpenzi wangu wa mda kidogo almost just like 2monthly ago sasa hivi karibuni kaanza katabia cha kuniomba pesa kiajabu ajabu tofauti na mwanzo mpaka akwame ndio aombe sababu yeye ni mwajiriwa .
Siku nne zilizopita amekua ananiomba pesa mfulilizo za matumizi ikabidi nimueleze kua mimi ni staff wa mapenzi hua sihongi kihivyo basi kanunanaje wiki sasa apokei simu hv kuna mapenzi hapa kweli au ndio akufukuzaeee........
Siku nne zilizopita amekua ananiomba pesa mfulilizo za matumizi ikabidi nimueleze kua mimi ni staff wa mapenzi hua sihongi kihivyo basi kanunanaje wiki sasa apokei simu hv kuna mapenzi hapa kweli au ndio akufukuzaeee........