NYOTIENO JARIEKO
Senior Member
- Apr 29, 2017
- 196
- 325
Nyie wasukuma bana! Haya.
😀 😀 😀
Hahahaa yaan huyu jamaa ana masihara sana. Et wakarud nyumbani kusubiria msiba utokee![]()
![]()
Yaani hata mimi nilivuoona title ya uzi na jina la mleta mada, nilicheka hata kabla sijaanza kusoma uzi...jamaa ni chenga mno.
"Majira ya saa 11 asubuhi akaja kiongozi wa vijana nyumbani akanigongea na kusema msiba tayari twendeni,"Hahahaa yaan huyu jamaa ana masihara sana. Et wakarud nyumbani kusubiria msiba utokee
Sent using Jamii Forums mobile app
Af itakua walimuua hao, wale nyama. Af nyama yenyewe akaikosa"Majira ya saa 11 asubuhi akaja kiongozi wa vijana nyumbani akanigongea na kusema msiba tayari twendeni,"
Sasa sielewi sijui walimpa sumu ya kumuua taratibu?



HahahahaHaikuwa jambo zuri ng'ombe walichinja vijana halafu tunapewa nyama kidogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂😂