Nilipigwa na kufukuzwa Msibani

Nilipigwa na kufukuzwa Msibani

nyama zilikuponza punguza uroho
mbaya wako aliyezima mziki
aliitaka maongezi yako yasikike vizur
pole
 
Hahahaa yaan huyu jamaa ana masihara sana. Et wakarud nyumbani kusubiria msiba utokee

Sent using Jamii Forums mobile app
"Majira ya saa 11 asubuhi akaja kiongozi wa vijana nyumbani akanigongea na kusema msiba tayari twendeni,"
😀😀😀😀😀😀
Sasa sielewi sijui walimpa sumu ya kumuua taratibu?
 
Back
Top Bottom