Gentleman96
JF-Expert Member
- Mar 12, 2019
- 912
- 1,674
Umechukulia serious?
Hahah
Nadhan ni fiction
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah
Nadhan ni fiction
Daah! mnasubiri mtu afe, mnamkatia tamaa kabisa, kwakweli kuna watu wakatili sana, mbaya zaidi mkachinja ng'ombe watatu, hivi si bora mngempeleka akafie hata hospitali kwa kuuza hizo ng'ombe, tena yawezekana asingekufa.
Siyo poa kwakweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app