Adrianinho
JF-Expert Member
- Mar 20, 2013
- 426
- 523
Ku
Kumbe na wewe umeona nilifikiri nimekosea kusoma
Kumbe na wewe umeona nilifikiri nimekosea kusoma
Dogo kazinguliwa na aliyezima mziki.Uroho wa nyama mbaya sana![]()
Duuuuuh pole sana broMwaka fulani kijiji kulitokea msiba wa mzee mmoja hivi mkubwa na aliyekuwa na mali nyingi hasa mifugo, nyumba na viwanja. Sasa vijana tukaitwa siku moja kabla ya msiba ili tujiandae na tuwe tayari kwa lolote, tukapewa majukumu ya kuhakikisha usafi umefanyika mazingira yote na maji yapo ya kutosha baada ya hapo tukarudi nyumbani kukaa na kusubiri yule mzee afe.
Majira ya saa 11 asubuhi akaja kiongozi wa vijana nyumbani akanigongea na kusema msiba tayari twendeni, basi tukaanza kukusanyika ile timu ya vijana na kweli tukakuta yule mzee kafariki tukaanza kazi zetu kila mmoja na majukumu yake.
Walichinja ng'ombe watatu siku hiyo na mziki uliletwa pale mambo yote yakawa yanaenda vizuri na watu wakaanza kula, sasa wakati wanagawa chakula akaja kijana mmoja na bakuli ambalo halikuwa na nyama za kutosha nikiwa naongea naye tukaanza kutoleana maneno makali ananitukana na kusema nimekuja kula au msibani, nikakasirika saa tulikuwa tunajibizana kwa sauti ya juu ila sababu sauti ya muziki ilikuwa juu watu walikuwa hawasikii.
Wakati naendelea kulumbana nae ghafla muziki ukazima na nikaongea kwa sauti 'hizo nyama mnazibania ili mmzike nazo marehemu au' umati wote ukageuka kunitazama, ghafla wazee wa mila wakasema huyo kijana akamatwe na apigwe. Nilipigwa nilipigwa jamani nilipigwa na nikaondolewa pale bila kula licha ya kufanya maandalizi ya msiba na usafi.
Niliumia bega la kushoto kuna mtu alinipiga na kitu chenye ncha kali ila nashukuru hali ilienda sawa na nikapona ila siwezi kusahau siku ile.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo uache sasa uroho wako wa nyama kakaMwaka fulani kijiji kulitokea msiba wa mzee mmoja hivi mkubwa na aliyekuwa na mali nyingi hasa mifugo, nyumba na viwanja. Sasa vijana tukaitwa siku moja kabla ya msiba ili tujiandae na tuwe tayari kwa lolote, tukapewa majukumu ya kuhakikisha usafi umefanyika mazingira yote na maji yapo ya kutosha baada ya hapo tukarudi nyumbani kukaa na kusubiri yule mzee afe.
Majira ya saa 11 asubuhi akaja kiongozi wa vijana nyumbani akanigongea na kusema msiba tayari twendeni, basi tukaanza kukusanyika ile timu ya vijana na kweli tukakuta yule mzee kafariki tukaanza kazi zetu kila mmoja na majukumu yake.
Walichinja ng'ombe watatu siku hiyo na mziki uliletwa pale mambo yote yakawa yanaenda vizuri na watu wakaanza kula, sasa wakati wanagawa chakula akaja kijana mmoja na bakuli ambalo halikuwa na nyama za kutosha nikiwa naongea naye tukaanza kutoleana maneno makali ananitukana na kusema nimekuja kula au msibani, nikakasirika saa tulikuwa tunajibizana kwa sauti ya juu ila sababu sauti ya muziki ilikuwa juu watu walikuwa hawasikii.
Wakati naendelea kulumbana nae ghafla muziki ukazima na nikaongea kwa sauti 'hizo nyama mnazibania ili mmzike nazo marehemu au' umati wote ukageuka kunitazama, ghafla wazee wa mila wakasema huyo kijana akamatwe na apigwe. Nilipigwa nilipigwa jamani nilipigwa na nikaondolewa pale bila kula licha ya kufanya maandalizi ya msiba na usafi.
Niliumia bega la kushoto kuna mtu alinipiga na kitu chenye ncha kali ila nashukuru hali ilienda sawa na nikapona ila siwezi kusahau siku ile.
Sent using Jamii Forums mobile app
kitambo sana,,nipo vema mkuu,,
Mkuu misiba mingi ya wajanja hufanyiwa maandalizi.Hahaaa ,ww jamaa story zako ,kwahiyo mliandaa msiba kabla jamaa hajafariki
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo kweliHata hayati Mwalimu Nyerere maandalizi ya mazishi yake tulianza kuyaandaa kabla hajafariki mwezi mzima nyuma
Uroho wa nyama mbaya sana![]()
Yaani ulitaka kutumia ule mfumo wa waliowajibika wapewe nyama nyingi..daa mzee umetisha sanaHaikuwa jambo zuri ng'ombe walichinja vijana halafu tunapewa nyama kidogo.
Sent using Jamii Forums mobile app