Nilipata ulemavu sababu ya Mapenzi

Mkuu chapati 2, pole sana
Vipi tangu upate matatizo ulishawahi kukaa kuongea na NAIMA,
sijawahi pata wasaa wa kuwasiliana nae maana hata ukitumia rafiki zake wanasema hawana mawasiliano nae, ila nauhakika anajua hali yangu
 
Asante mkuu naimani Mungu ataniwezesha kusamehe na kusahau.


Kuhusu mtaji kwakweli nashukuru kwa wema huo ninamtaji wa laki 6 na naona inanitosha kuanza biashara ya mtumba japo mkoa zinapouzika sana na nguo gani zinauzika sana ndio nakosa taarifa sahihi
 
Hongera kwa kujipanga, naamini wadau wenye uzoefu wa biashara ya nguo wanaweza kukusaidia hapa ukapata taarifa sahihi za kufanikisha nia yako

Be blesse
 
sijawahi pata wasaa wa kuwasiliana nae maana hata ukitumia rafiki zake wanasema hawana mawasiliano nae, ila nauhakika anajua hali yangu
Daaah huyu mwenzangu sijui ana moyo gani, najua hawezi kurudisha viungo vyako
Lkn km angejishusha na kukuomba msamaha pengine ingekusaidia wewe kupata ahueni moyoni na yeye pia aondokane na mabalaa sababu ya manunguniko yako

Kwa sasa jitahidi kuomba Mungu upate mke atakaye kupenda wewe kwa dhati , na kama unaye focus na huyo kwa sasa
Ubarikiwe
 
asante ndugu Mungu akijaalia itakuwa hivyo maana yote yanawezekana kwake.
 
Watu twaweza toa pole kumbe utunzi wa shigongo.
 
Mapenzi upofu.
 
Unayo nafasi ya pili kwenye maisha

Fungua moyo wako narudi Tena fungua moyo wako katu usikatishe maisha yako

Bado unayo thamani kubwa katika haya maisha .

Move on focus on yourself and work

Msamehe na na malipo yake atayapata hapa hapa dunia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…