Nilipata ulemavu sababu ya Mapenzi

Pole sana nakupa tu maneno ya faraja tu ila ya ukweli utaumia sana jinsi ulivyo.

Samehe mara 700 na utalipwa mbinguni na Mungu
 
Dah Pole sana kaka.
Mi naamua kulipiza kwa Hawa wengine kwa Niaba yako .
It’s beyond the Human pains.
Mungu mkubwa, huyo Dada hatadumu kwenye ndoa yake.
 
nipo Dodoma mkuu,nimesomea education pia sina shughuli yoyote ndio kwanza nimepata mtaji wa laki 6 nataka nijitahidi biashara ya mtumba pia nimeulizia humu mkoa mzuri nikaanze upya

Pole sana, pambana utafanikiwa tu baadaye.

Ulemavu wa mguu baadaye unaweza kupata mguu wa bandia or motorized wheel chair to help with mobility.

Masikio, hearing aids zinaweza kukusaidia.

Ni kanuni nzuri ya maisha not to spend zaidi ya 10% in any one thing or deal (even like cars or houses).
 
Nitazungumzia Hilo eneo la kusimamishwa kazi na kuanza kuyumba kiuchumi. Kwakuwa hujui siku Wala saa ya kuondolewa kazini, wewe uliyeajiriwa, wekeza vitega uchumi, na si lazima mwanamke wako ajue vilipo. Kiukweli, asilimia kubwa ya wanawake wanatumbea helaaaa.
 
Pole Kaka,.wanawake ndivyo walivyo..mi ndo Mana mpka Leo siwaamini.
Mungu Ni mwema ipo siku utasimama Tena.
 
Sitaki kuamini kuwa kiss hiki ni Cha kweli
 
Pole sana,mtukuze Mungu na kumshukuru kwa kila jambo,mgeukie yeye utaiona amani na furaha kwani kuna wanaopitia magumu kuliko hata yako...
 
hiyo movie nimeisahau jina kidogo ila kacheza Ray Kigosi na Aunt Ezekiel . sema kwa badae ulemavu wake ulipona akapata kazi na dem aliemsaliti akaja kumuomba msamaha tena

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
Asante sana ndugu, Mungu atasaidia kwangu japo hearing aid ninayo ila siitumii kwasababu inaongeza makelele, nahisi ni sababu ya brand kuwa low quality, ila Mungu akisaidia nitajaribu phonac hearing aid maana ndio bora kwasasa na kuna dada anatumia anasema ni nzuri sana kuliko brand za kawaida..
 
Pole sana,mtukuze Mungu na kumshukuru kwa kila jambo,mgukie yeye utaiona amani na furaha kwani kuna wanaopitia magumu kuliko hata yako...
ndugu naamini matatizo yangu sio makubwa ila kukaa na hali hii ya ulemavu ndiko kunaniletea simanzi na kunikumbusha, Mungu atanisaidia naimani
 
Pole sana nakupa tu maneno ya faraja tu ila ya ukweli utaumia sana jinsi ulivyo.

Samehe mara 700 na utalipwa mbinguni na Mungu
ni kweli kaka kusahau kabisa ni ngumu sababu nitasahau dakika mbili ila nikinyanyuka na mguu au nikiitwa nisiposikia nitarudi kwenye simanzi yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…