Nilipata ulemavu sababu ya Mapenzi

Mnapenda sana kupitiliza au mnaiga kweny tamthilia bila kujua wale wapo kazini wanatafuta pesa?

Baada ya kuwakuta wanagegedana nini sasa kikakupeleka barabarani? Wenge au?

Natamani nikulime bakora za maana ujinga ukutoke kichwani.
 
Hospital ni ya serikali ipo Dar ndugu yangu, ilikuwa 2008, pia sikujua kama Quinine ndiyo chanzo cha shida ya kunipunguza usikivu, maana hospitali nyingi walisema ukosefu wa Vitamin B wakaniandikia dawa zinaitwa Nurotons kama sijakosea ni mchanganyiko wa vitamin B karibu zote (B1 to B12)



walisema hizo Nurotons zitasaidia kuotesha vinyweleo ambavyo ndio vinapokea taarifa na kuifasili ieleweke na ubongo, ila shida iliendelea kadri siku zinavyoongezeka ndiyo nilivyozidi kutosikia mpaka sasa nasikia kwa shida sana masikio yote mawili.



ila kuna doctor muhimbili 2014 ndiyo alipitia taarifa zangu za nyuma vizuri akasema shida sio upungufu wa madini ila ni effect za dawa za Quinine.namimi nikavuta kumbukumbuku kuwa inawezekana Quinine ni chanzo kikuu cha tatizo langu.
 
pia hayo makelele kama muungurumo, nausikia pia na muda mwingine unafanya taarifa nisiielewe au nisisikie maneno yote, ila maneno yenye S na A ni ngumu zaidi kuyasikia hata uwe karibu. sio hilo tu, sauti yangu imebadilika naongea kwa sauti ya chini sana ila mimi najiona naongea sauti ya juu
 
mkuu pole sana, ila usikatishwe tamaa na hali yako jiamini jikubali na jisamehe kwanza wewe mwenyewe wasemehe na wengine, usibebe mizigo ndani mwako!!
 
mkuu pole sana, ila usikatishwe tamaa na hali yako jiamini jikubali na jisamehe kwanza wewe mwenyewe wasemehe na wengine, usibebe mizigo ndani mwako!!
Nashukuru kaka maana ni kweli nimebeba mzigo wa chuki na kusamehe ni ngumu. Nitaufanyia kazi ushauri wako.
 
Haupo peke yako mkuu, nimekutana na watu kadhaa wenye hili tatizo na wengi nilipowauliza kuhusu quinine walikiri kuitumia ili kutibu malaria.

Wengi wameenda kwa waganga na kuishia kufanyiwa matambiko au dawa lakini wapi, wengi hudhani makelele ni kwamba wametupiwa majini kumbe ni quinine.

Hizi kampuni zingetumia hizi dawa ulaya nakwambia saizi kungekuwa kuna wagonjwa wamelipwa fidia ya mabilioni, Yani kampuni inatengenezaje dawa ambayo inamfanya mtu awe kiziwi kwamfano??, maana kiukweli bila maskio mtu umeshamkwa sana

vipi, simu unaskia fresh au ni mwendo wa meseji
 
Sauti kubadilika ni lazima maana unaiskia tofauti na kawaida.

huo ugonjwa wa kelele niiwahi ona jamaa mwenye tatizo hili alikua anajichanfa aende zanzibar kuna mzungu hapo zanzibar ana mitungi ile ya oxygen watu wenye magonjwa flani wanainiaga humo ndani kama kwa dakika 20 hivi kila siku kwa wiki nzima ili kutibu magonjwa yanayotolewa kwa hio gesi ya oxygen.

vp, umejaribu mafuta ya kuku??
 
ndugu simu sisikii vizuri nasikia kwa asilimia chache nikiweka loud speaker, naweza kusikia maneno 3 nisisikie maneno 8, na ule kama mwangwi wa simu ndo unanichanganya kabisa
 
hapana mafuta ya kuku sijatumia, yanatumikaje.
 

Hongera sana mkuu una kipaji cha UTUNZI ,mtafute Director Bongo Movie Bishop Hiluka muandae script yake mutengeneze Movie.
 
Misfortunes never come singly (proverb) = Bad things, event, situations, outcomes, etc., almost always arrive in groups of two or more all at once or in quick succession.
 
she turned the table badly brother mungu atalipia
 
mkuu usije ukawaonea wanawake huruma ni viumbe wasio jielewa akili zao zinafanana na kuku. Ukitaka kuwekeza wekeza kwa watoto maskini na watu wasiojiweza kama ndugu zako hawapo.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…