Nilipata ulemavu sababu ya Mapenzi

Samahan Kaka ang njoo pm
 
Kaka acha kabisa ni hatar labda watu hwajanizoea naona karaha sitaki kuongea hata na demu
 
Kaka acha kabisa ni hatar labda watu hwajanizoea naona karaha sitaki kuongea hata na demu
Pole kaka na ulemavu wakupatia ukubwani inachukua muda sana kuukubali, muda mwingine simu inaita unaacha hadi ikate tunapoteza pesa na watu wa karibu ila Mungu ni mwema mkuu yatakwisha sikumoja.
 
Pole kaka na ulemavu wakupatia ukubwani inachukua muda sana kuukubali, muda mwingine simu inaita unaacha hadi ikate tunapoteza pesa na watu wa karibu ila Mungu ni mwema mkuu yatakwisha sikumoja.
Mi sishakubali na kazi napiga ila sipend kusemeshwa kabisa itakavyokuwa ndo ivyo ivyo sina tabu na mtu nishakubali najikubali sana wapo wanaonikubali but kuna watu wananipa simanzi nilimaliza nao mda sana wengine msingi wengine sekondari basi nikuktana nao wanasema una dharau tunakuita hugeuki naona maisha bora yaendelea pesa ninayo mshallah, navaa kila kitu 😋😋😋😊😊😊sio kesi ndhani mke wangu atakuja nielewa tu
 
Amini Mungu, huyu kibaka aliyekuharibia maisha ana yake na usikute pengine ni Mungu huyo huyo aliyetaka kukuepusha na huyu mwanamke. Time will tell.
 
Malipo yote ni hapa hapa....

Huyo binti na yeye siku zake zinahesabika...

Ngoja tuone...
 
Pole sana braza yan bora ungekatwa miguu miwili afu masikio yabaki vizuri..

Ulemavu wa kusikia mbaya sana huwezi kakaa popote kwa amani kama husikii vizuri
 
mkuu japo kwa miguu ningeteseka pia ila kwa masikio napata tabu sana kwa muda mchache ambao nafanya conversation na watu naambulia asilimia 40 tu na kwenye simu naambulia 20 kama sio 10 tena kwa loud speaker, Mungu ni mwema muda mwingine tunaweza ongea tu vizuri hata dakika 30 ila milio ikianza masikioni na ukiwa mbali hata jina siwezi kuitika.
Pole sana braza yan bora ungekatwa miguu miwili afu masikio yabaki vizuri..

Ulemavu wa kusikia mbaya sana huwezi kakaa popote kwa amani kama husikii vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…