mwanaNjilo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 277
- 195
Habar zenu wana jamvi!
Mnamo tarehe 15 mwez wa 12/18 nilipata ajal nikiwa natoka kwenye mizunguko yangu...nilipata majeraha sehemu tofaut-tofaut za mwil ikiwemo usoni, hasa kweny paji la uso, ambapo niliumia zaid na kulazimika kufany 'stiching' (cjui km ni terminology yenyewe hii au laah, lkn namaanisha nishonwa nyuzi km njia ya tiba!)
To cut the story short.
Nyuzi cjatoa mpk sasa hii ni wk ya pil naenda nayo...juz nilitaka kutoa nurse akanambia kidonda kipo septic so cwez kutoa nyuzi, Sasa naomba kufahamu haya yafuatayo kutoka kwenu experts:
1. Ukikiweka ktk hali ya usafi, mshono unatakiwa kutolewa nyuz baada ya mda gan??
2. Je, jeraha lililofanyiwa stich linatakiwa kusafishwa na kufanyiwa dressing baada ya siku ya kwanza ya kupata huduma (km jibu ni 'Ndio', je, ni kila baada ya mda gani?? Km ni 'hapana' ni kwann?? Maana hapa ndo pamenifelisha kwa kiasi kikubwa...nilipata huduma ktk hosptal tatu tofaut...centre ya kwanz, ambao ndo nlipokelewa kwa mara ya kwanz baada ya ajal, walinambia nisafishe kla baada ya cku mbil.
Centre ya pil walinambia jeraha ya lilo stich wa hua halitakiw kua disturbed so sitakiwi kukifungua kidonda mpk cku naenda kutoa nyuz!! Center ya tatu, wakanambia km nilivoambia centre 1...
Which is actually which?? I need to know
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnamo tarehe 15 mwez wa 12/18 nilipata ajal nikiwa natoka kwenye mizunguko yangu...nilipata majeraha sehemu tofaut-tofaut za mwil ikiwemo usoni, hasa kweny paji la uso, ambapo niliumia zaid na kulazimika kufany 'stiching' (cjui km ni terminology yenyewe hii au laah, lkn namaanisha nishonwa nyuzi km njia ya tiba!)
To cut the story short.
Nyuzi cjatoa mpk sasa hii ni wk ya pil naenda nayo...juz nilitaka kutoa nurse akanambia kidonda kipo septic so cwez kutoa nyuzi, Sasa naomba kufahamu haya yafuatayo kutoka kwenu experts:
1. Ukikiweka ktk hali ya usafi, mshono unatakiwa kutolewa nyuz baada ya mda gan??
2. Je, jeraha lililofanyiwa stich linatakiwa kusafishwa na kufanyiwa dressing baada ya siku ya kwanza ya kupata huduma (km jibu ni 'Ndio', je, ni kila baada ya mda gani?? Km ni 'hapana' ni kwann?? Maana hapa ndo pamenifelisha kwa kiasi kikubwa...nilipata huduma ktk hosptal tatu tofaut...centre ya kwanz, ambao ndo nlipokelewa kwa mara ya kwanz baada ya ajal, walinambia nisafishe kla baada ya cku mbil.
Centre ya pil walinambia jeraha ya lilo stich wa hua halitakiw kua disturbed so sitakiwi kukifungua kidonda mpk cku naenda kutoa nyuz!! Center ya tatu, wakanambia km nilivoambia centre 1...
Which is actually which?? I need to know
Sent using Jamii Forums mobile app