Nilinyanyasika kijinsia

Nilinyanyasika kijinsia

Tungekuwa wengi wasingetufanyia hvo vituko, we mademu wanatoa sidiria na matiti yanaonekana na mm ni hapo hapo mkuu? Walijua wapo wengi siwez wafanya kitu

Unashindwaje kushughulikia watoto 3 kama cjakosea
Ucngekata tamaa wenzio walitaka uwatoe bariiiiiid
 
Ulienda heaven and kurudi while still alive.

Madame we acha tu, lkn masela wangu walikwa machachari sana enzi hzo, maana nilipo fka tu kuwaambia, wakaniuliza, wapo wap? Ni mda mrefu sana tuwafate? Nikawaambia watakuwa wamefika hata kwao. Wakalaani sana.
 
Unashindwaje kushughulikia watoto 3 kama cjakosea
Ucngekata tamaa wenzio walitaka uwatoe bariiiiiid

Nmekwambia nane(8), cjui walitoka wapi wate itakuwa walilala harusini maana ilikua mida km saa tano au saa sita
 
kuonyesha ni jinsi gani alivyonyanyasika kijinsia na bado ana machungu

Ucnifanyie hvo MankaM! Me cna machungu lkn cwez sahau kwakuwa cku ile ujanja uliishia mifukoni, na hadi leo najiona lofa, maana hata wangenivulia zote bado nicngeweza fanya lolote sana sana ningetoka mita
 
Na wewe ungevua zako tena zote kabisa kuwakomoa.

Comment yako imenikumbusha nilipokuwa chuo enzi hizo,kuna watu walikuja niletea malalamiko juu ya kaka yangu mmoja wa kwetu,eti kavua nguo mbele ya wadada,tena akapanda juu ya meza wamuone vizuri,wacha wadada watoke nduki!!! Alipoulizwa sbb akasema wale wadada walikuwa na tabia ya kumchungulia daily akitoka kuoga pale hostel,sasa kaona isiwe SBB ngoja awaoneshe live wasipate tabu kumchungulia!!!

Kweli utoto una mwisho wake,saizi yule kaka ni mtu mkubwa(mheshimiwa wilaya Fulani)lkn ndo alishawahi kaa naked tukiwa chuo mwaka wa pili!!
 
Ni kweli kabisa ulinyanyaswa kijinsia japo watu hawalioni au wanalipotezea.
Kitendo cha kuvua nguo, kubaki mtupu au kuonesha maungo yako ya siri mbele ya mtoto mdogo (hata kama ni mwanao) au mtu wa jinsia tofauti na yako ambae hamna uhusiano wa kuvuliana nguo ni unyanyasaji wa kingono.
 
Comment yako imenikumbusha nilipokuwa chuo enzi hizo,kuna watu walikuja niletea malalamiko juu ya kaka yangu mmoja wa kwetu,eti kavua nguo mbele ya wadada,tena akapanda juu ya meza wamuone vizuri,wacha wadada watoke nduki!!! Alipoulizwa sbb akasema wale wadada walikuwa na tabia ya kumchungulia daily akitoka kuoga pale hostel,sasa kaona isiwe SBB ngoja awaoneshe live wasipate tabu kumchungulia!!!

Kweli utoto una mwisho wake,saizi yule kaka ni mtu mkubwa(mheshimiwa wilaya Fulani)lkn ndo alishawahi kaa naked tukiwa chuo mwaka wa pili!!

Jamaa atakuwa na Machine balaa, hadi mabinti kwenda kumchungulia bafuni! Au alikuwa anawacngizia tu
 
Ni kweli kabisa ulinyanyaswa kijinsia japo watu hawalioni au wanalipotezea.
Kitendo cha kuvua nguo, kubaki mtupu au kuonesha maungo yako ya siri mbele ya mtoto mdogo (hata kama ni mwanao) au mtu wa jinsia tofauti na yako ambae hamna uhusiano wa kuvuliana nguo ni unyanyasaji wa kingono.

Asante sana Da Pretty kwa kuliona hilo
 
Jamaa atakuwa na Machine balaa, hadi mabinti kwenda kumchungulia bafuni! Au alikuwa anawacngizia tu

Walikuwa wanamchungulia dirishani wakidhani hawaoni kumbe anawaona,wakigongana macho wanajifanya hawachungulii!!we kumbe ye ndo chizi zaidi yao!!
 
Ni kweli kabisa ulinyanyaswa kijinsia japo watu hawalioni au wanalipotezea.
Kitendo cha kuvua nguo, kubaki mtupu au kuonesha maungo yako ya siri mbele ya mtoto mdogo (hata kama ni mwanao) au mtu wa jinsia tofauti na yako ambae hamna uhusiano wa kuvuliana nguo ni unyanyasaji wa kingono.

Well said,Ila watu wengi hawajui unyanyasaji wa kingono ni nini,wengine wanafikiri ni kubaka na kulawiti,kumbe kunajumuisha mambo mengi sana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom