mangelengele
JF-Expert Member
- Nov 4, 2014
- 1,293
- 1,102
Mimi ni mwanaume, nakumbuka miaka kama 10 iliyopita, nilikuwa natokea Shamba pekeyangu kwa Miguu huku nilebeba Mzigo mzito begani, kutokana na mvua iliyokuwa imenyesha kwa muda fulani mbele kulikuwa na Mto ambao ulikuwa umejaa.
Kabla sijavuka ule Mto nikaona mabinti kama nane hivi wanaanza kuvuka huku wamebeba Nguo zao mkononi na wamebakiwa na Chupi na Sidiria tu.
Nilihisi Mwili kutetemeka na nikakuta natua Mzigo niliobeba chini maana miguu iliishiwa nguvu na mate yakaanza kujaa mdomoni.
Waliendelea kuvuka bila woga kuja ng'ambo niliko mimi, na walipo vuka wakaanza kutoa sidiria zao na kuanza kuzikamua, nikawa nashuhudia matiti ya aina tofauti tofauti live, wakavaa magauni yao na kuanza kuvua chupi na wakaanza kukamua chupi pia. Baada ya muda wakaanza kuondoka bila kuvaa vyupi viunoni mwao.
Nilibaki nimeduwaa tu, nilicho ambulia ni salaam tu "Habari yako kaka". Sasa sijui ningefanyeje kwakua nilikuwa siwajui, halafu walikuwa wengi. Mi naona nilinyanyasika kijinsia kama mwanaume.
Kabla sijavuka ule Mto nikaona mabinti kama nane hivi wanaanza kuvuka huku wamebeba Nguo zao mkononi na wamebakiwa na Chupi na Sidiria tu.
Nilihisi Mwili kutetemeka na nikakuta natua Mzigo niliobeba chini maana miguu iliishiwa nguvu na mate yakaanza kujaa mdomoni.
Waliendelea kuvuka bila woga kuja ng'ambo niliko mimi, na walipo vuka wakaanza kutoa sidiria zao na kuanza kuzikamua, nikawa nashuhudia matiti ya aina tofauti tofauti live, wakavaa magauni yao na kuanza kuvua chupi na wakaanza kukamua chupi pia. Baada ya muda wakaanza kuondoka bila kuvaa vyupi viunoni mwao.
Nilibaki nimeduwaa tu, nilicho ambulia ni salaam tu "Habari yako kaka". Sasa sijui ningefanyeje kwakua nilikuwa siwajui, halafu walikuwa wengi. Mi naona nilinyanyasika kijinsia kama mwanaume.