Nilinusurika Kifo – Hadithi Yangu ya Kuogelea

Nilinusurika Kifo – Hadithi Yangu ya Kuogelea

Dr Luu

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2016
Posts
968
Reaction score
856
1000118871.png

Nimeona ni share hii Hadith yangu fupi ya utotoni.

Nilipo kuwa mdogo, miaka karibu 4–5, nilienda na watoto wenzangu kuogelea mtoni. Tulivua nguo kama kawaida. Mimi, kwa udogo wangu, sikuwahi kuogelea, hivyo nilichezea pembezoni mwa maji machache.

Wenzangu waliniita: “Njoo hapa, sio kirefu!”

Niliwaamini… na hatua chache baadaye, niligundua nimeshuka kwenye kina kirefu.

Kwa hofu, nilianza kutapika na kuomba msaada. Maji yalinibeba hadi karibia maporomoko ya maji – mahali ambapo ningeweza kupoteza maisha.

Ndipo niliposikia sauti ya “Nishike!”

Ilikuwa Dickson, jirani yetu na rafiki wa karibu, akiniokoa. Siku hiyo, nilikumbuka wazazi wangu na machozi yalidondoka.

Tangu siku hiyo, niliogopa kuogelea. Lakini baada ya muda, niliweza kusahau hofu na nikawa mjuzi wa kuogelea.

Moral:

Kuamini rafiki wako kwa busara

Kuangalia hatari kabla ya hatua

Thamini maisha kila siku

Kufanya kitu kwa uwezo wako na wakati

Leo, ninaogelea kwa ujuzi na kwa shukrani kwa zile siku za hofu na miujiza.
 
Pole na hongera sana.

Mimi pia nina experience ya kutaka kuzama majini….Nikaapa kumtafuta aliyeniokoa nimlipe fadhila. Nikamtafuta huko fesibuku nikampata, unfortunately akanipotezea.
Ndo mimi hapa sema tu hukujieleza vizuri ndomana nikakupotezea😎
 
View attachment 3461356Nimeona ni share hii Hadith yangu fupi ya utotoni.

Nilipo kuwa mdogo, miaka karibu 4–5, nilienda na watoto wenzangu kuogelea mtoni 🌊. Tulivua nguo kama kawaida. Mimi, kwa udogo wangu, sikuwahi kuogelea 🫣, hivyo nilichezea pembezoni mwa maji machache.

Wenzangu waliniita: “Njoo hapa, sio kirefu!” 🗣️
Niliwaamini… na hatua chache baadaye, niligundua nimeshuka kwenye kina kirefu 😱!

Kwa hofu, nilianza kutapika na kuomba msaada 😢… Maji yalinibeba hadi karibia maporomoko ya maji ⛰️💦 – mahali ambapo ningeweza kupoteza maisha.

Ndipo niliposikia sauti ya “Nishike!” 🙌
Ilikuwa Dickson, jirani yetu na rafiki wa karibu, akiniokoa 💖. Siku hiyo, nilikumbuka wazazi wangu na machozi yalidondoka 😭.

Tangu siku hiyo, niliogopa kuogelea 😔. Lakini baada ya muda, niliweza kusahau hofu ✨ na nikawa mjuzi wa kuogelea 🏊.

Moral:
🫶 Kuamini rafiki wako kwa busara
🫶 Kuangalia hatari kabla ya hatua
🫶 Thamini maisha kila siku
🙌 Kufanya kitu kwa uwezo wako/ wakati.

Leo, ninaogelea kwa ujuzi na kwa shukrani kwa zile siku za hofu na miujiza 🙏💛
Umenikumbusha Fred huyo ni mdogo kwangu ila tupo lika moja ni dogo mtundu mtundu Toka udogoni....

Tuka chukua baiskeli tuka ride kuelekea SITE kwao nje ya mjiiiii tuka Kuta bwawa kubwa SANAAAAAA Yale wanayo chotaga/ chimba mchanga kulikua na vijana mbali mbali wakijilusha kwenye majii...

Hiyo ndio ilikua mwanzo na mwisho wa Mimi kuogelea/ nakumbuka sikuwai kuogelea in my life time so nikajilusha kwenye majii mengi nilipo tua nikawa naanza kuzama nikaita watu niokoeni...

Nakunywa maji mdomoni masikioni puanii nikatapatapa mpaka kwenda kunasa kwenye matope / asikwambie mtu nikanasa kwenye tope Huku natapatapa na kunywa vikombe vya maji ndipo jamaa wakanifuata kuninasua kwenye topeeee

Masikitikooo makubwa yaani nikaanza kukamuliwa maji tumboni, nikawa masikio yameziba kwa kujaa maji nikawa nayatoa maji masikionii ile siku udogoni ndio ILIKUAGA MWANZO NA MWISHO WA MIMI KUOGELEA SIOGELEI KWANGU NI MWIKO KABISA KABISA NI MWIKO MIMI NI MTAZAMAJIII

Sijawai tamani ku ogelea tena masikio yaliziba kwa wiki nzimaa si jawai tamani tena kuogelea Wala kusogea karibu na majiii
 
Umenikumbusha Fred huyo ni mdogo kwangu ila tupo lika moja ni dogo mtundu mtundu Toka udogoni....

Tuka chukua baiskeli tuka ride kuelekea SITE kwao nje ya mjiiiii tuka Kuta bwawa kubwa SANAAAAAA Yale wanayo chotaga/ chimba mchanga kulikua na vijana mbali mbali wakijilusha kwenye majii...

Hiyo ndio ilikua mwanzo na mwisho wa Mimi kuogelea/ nakumbuka sikuwai kuogelea in my life time so nikajilusha kwenye majii mengi nilipo tua nikawa naanza kuzama nikaita watu niokoeni...

Nakunywa maji mdomoni masikioni puanii nikatapatapa mpaka kwenda kunasa kwenye matope / asikwambie mtu nikanasa kwenye tope Huku natapatapa na kunywa vikombe vya maji ndipo jamaa wakanifuata kuninasua kwenye topeeee

Masikitikooo makubwa yaani nikaanza kukamuliwa maji tumboni, nikawa masikio yameziba kwa kujaa maji nikawa nayatoa maji masikionii ile siku udogoni ndio ILIKUAGA MWANZO NA MWISHO WA MIMI KUOGELEA SIOGELEI KWANGU NI MWIKO KABISA KABISA NI MWIKO MIMI NI MTAZAMAJIII

Sijawai tamani ku ogelea tena masikio yaliziba kwa wiki nzimaa si jawai tamani tena kuogelea Wala kusogea karibu na majiii
Pole kwa hilo, waweza jifunza taratibu. Face u greatest fear. Mimi naogopa zaidi nyoka ila nilishauwaga nyoka mara kadha ila kwa sasa sitaki kuwaua tena labda ikilazimika naendelea kujifunza juu yao. Nikiingia msituni lazima nijiconnect na ardhi na miti ili aniepuke
 
Hizi fadhila 🌹 zinagombaniwa naona nipewe mm niliye wahi tu maana wengine wananionea wivu tu 👍
 
Pole kwa hilo, waweza jifunza taratibu. Face u greatest fear. Mimi naogopa zaidi nyoka ila nilishauwaga nyoka mara kadha ila kwa sasa sitaki kuwaua tena labda ikilazimika naendelea kujifunza juu yao. Nikiingia msituni lazima nijiconnect na ardhi na miti ili aniepuke
min -me , Mimi SIOGELEI KWANGU NI MWIKO KABISA.

Nimesoma bukoba , Rocky city second home, Huku dar nipo nipo sanaa siogelei Wala sitokuja kuogelea nilinusurika kifo kwenye majii udogonii

Kwanza hata kwenye swimming pool siogelei sembuse kwenye ziwa au baharini au mtoniiii..

SIOGELEI SIOGELEI KWANGU NI MWIKO KABISA KABISA

Aisome Monetary doctor
 
min -me , Mimi SIOGELEI KWANGU NI MWIKO KABISA.

Nimesoma bukoba , Rocky city second home, Huku dar nipo nipo sanaa siogelei Wala sitokuja kuogelea nilinusurika kifo kwenye majii udogonii

Kwanza hata kwenye swimming pool siogelei sembuse kwenye ziwa au baharini au mtoniiii..

SIOGELEI SIOGELEI KWANGU NI MWIKO KABISA KABISA

Aisome Monetary doctor
Pole sana mkuu.
 
min -me , Mimi SIOGELEI KWANGU NI MWIKO KABISA.

Nimesoma bukoba , Rocky city second home, Huku dar nipo nipo sanaa siogelei Wala sitokuja kuogelea nilinusurika kifo kwenye majii udogonii

Kwanza hata kwenye swimming pool siogelei sembuse kwenye ziwa au baharini au mtoniiii..

SIOGELEI SIOGELEI KWANGU NI MWIKO KABISA KABISA

Aisome Monetary doctor
🤔🤝👍
 
Naona mtoa fadhila kagoma, ngoja tukae karibu na maji tunaweza pata wakuogelea.
 
Hahaha!
Fadhila inalipwa kwa mtenda.
Ni miaka mingi imepita, sidhani kama anakumbuka.
Nilimwandikia sms inbox yake FB na kumweleza lile tukio, nikaacha namba yangu anitafute mpaka leo hii hajanitafuta.
Nipo bar nikishalewa nakutafuta
 
Hahaha!
Fadhila inalipwa kwa mtenda.
Ni miaka mingi imepita, sidhani kama anakumbuka.
Nilimwandikia sms inbox yake FB na kumweleza lile tukio, nikaacha namba yangu anitafute mpaka leo hii hajanitafuta.
Ni PM namba yako ili nimkumbushe au nimekukomalia sana 😁😁😁
 
min -me , Mimi SIOGELEI KWANGU NI MWIKO KABISA.

Nimesoma bukoba , Rocky city second home, Huku dar nipo nipo sanaa siogelei Wala sitokuja kuogelea nilinusurika kifo kwenye majii udogonii

Kwanza hata kwenye swimming pool siogelei sembuse kwenye ziwa au baharini au mtoniiii..

SIOGELEI SIOGELEI KWANGU NI MWIKO KABISA KABISA

Aisome Monetary doctor
Sinaga urafiki na maji,,, aseeh mimi hata daraja kma sio refu nashindwa kuvuka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom