Nilimkimbia huyu mdada baada ya kuniomba Shilingi 10,000

Nilimkimbia huyu mdada baada ya kuniomba Shilingi 10,000

MWANAMKE...UKITAKA MWANAUME(MPZ) AKUACHE WE OMBA TU PESA YAAN WW OMBA TU😅😅
 
Mkuu, kwa mwendo huo hutokaa ukapata demu.. Wenzio ubahiri hatufanyi namna hyo.. Lazima uwe na matendo yakumshawishi demu kwa namna moja au nyingine..
Yaan kwahyo Siku ya kwanza ungejifanya hata kujiliza kuwa uko bad ukamtupia japo buku 5... So ndo hvyo.. Ubahili usizidi sana..
TOA NAWE UPEWE
 
Hayo mambo kwasasa nimeshavuka kitambo enzi zangu mwanamke akiniomba pesa mahusiano yakiwa mapya siku hiyo hiyo nampotezea,ila nilichogundua wanawake wengi wenye njaa njaa ndio zao ambao hawajitambui
 
wewe ni malaya

demu ulomtongoza nae malaya


tofauti yenu ni 1

malaya wewe unataka huduma ndipo ulipie

malaya yule anataka malipo ndipo huduma

Mmeshindwana maana malaya hawaaminiani

na ndio kilichotokea kwako na kwake.
Kaka taratibu basi
 
Wanaume wengine kwa kulia lia jaman elfu 10,000 ya kujia jf kweli khaaaaaa
 
Hayo mambo kwasasa nimeshavuka kitambo enzi zangu mwanamke akiniomba pesa mahusiano yakiwa mapya siku hiyo hiyo nampotezea,ila nilichogundua wanawake wengi wenye njaa njaa ndio zao ambao hawajitambui
Well said maisha yamevaa pensi mtu anatafuta kwa kuponea mkuu
 
Hakuna mwanaume awajuaye wanawake ila kwa experience tu...

Unapotongoza kuna wanawake wa aina tatu.

1. Aliyekwisha kuelewa.

2. Asiyekutaka.

3. Asiyejua anakutaka au hakutaki...hawa namba tatu ndiyo wengi. Wewe ngia utakayoingia nayo akaielewa umempata.

Kasheshe ipo kwa namba 2 huyu ndiyo wale hatumi text hadi utume wewe. Ukimtumia text au calls anajibu kwa kifupi. Wengi wao wana mahusiano hivyo ni kama unawasumbua. Ukikutana na huyu kama umependa utatamni ujifie.

Namba moja hao hawana shida hadi umkere saana...japo nao wanakuhitaji uende kwa steps ila hao hawana mbwe mbwe.
 
Back
Top Bottom