Nilimkimbia huyu mdada baada ya kuniomba Shilingi 10,000

Nilimkimbia huyu mdada baada ya kuniomba Shilingi 10,000

Boy : baby mambo, leo unakuja,kama tulivyoongea jana?

Girl : Ndiyo my..

But baby Nikwambie kitu...

Boy : sema mpnz

Girl : Sasa mimi nitakujaje, nywele zipo hovyo sijaosha, wala kuset.. Alafu baby kucha zangu sijasafisha..

Nitumie pesa kidogo Kama 30,000/= hivi niende saloon..

Boy : Poa usijali subiri...

M-PESA : imethibitishwa 30,000/= salio lako jipya la M-PESA ni shilling 30,250/=....

Boy : Umeiona mpnz?

Girl: kimya

Boy : Mmh mbona hujibu?

Girl : Ooh sorry, my nimeiona, nilikuwa namuandalia baba chakula, ndiyo amerudi muda huu toka safari...

Mmh alafu sijui Kama ntaweza kutoka baby coz baba alivyorudi amenisema, juzi nilivyochelewa kurudi home, mama kamwambia kila kitu...

100(customer care Vodacom) : Karibu katika huduma ya watu waliotuma pesa kimakosa kupitia M-PESA...

Boy : Samahani nimetuma shillingi 30,000/= kwenda number xxxxx, naomba mnisaidie kuirudisha tafadhali...

100(customer care Vodacom) : OK subiri ombi lako linashughulikiwa na utarejeshewa kiasi hicho ndani ya masaa 24...

Girl (SMS imeingia toka M-PESA) : Imedhibitishwa kiasi cha shilling 30,000/= kilichotumwa kimakosa kimerudishwa, salio lako jipya la M-PESA ni shilling 250/=
Girl : Sasa baby ndiyo nini hivyo... [emoji7][emoji7]
Boy. Sio Mimi ni voda ao wamenionea uruma unavyo nichuna. [emoji23]
Girl. Aah baby voda gani wako ivyo
Girl.alafu Baba kalala nakuja nitumie basi
Boy. We njoo ila nishatumie iko buku jelo now[emoji23]
Mimi siyo mtu wa mchezo mchezo ati...

Sipendagi ujinga mimi...!!
Noma
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
wewe ni malaya

demu ulomtongoza nae malaya


tofauti yenu ni 1

malaya wewe unataka huduma ndipo ulipie

malaya yule anataka malipo ndipo huduma

Mmeshindwana maana malaya hawaaminiani

na ndio kilichotokea kwako na kwake.
 
Mkuu Nipe Namba Zake Nimtumie Hiyo Pesa Mtoto Wa Watu.
Isijekuwa Ana Tatizo.
 
Boy : baby mambo, leo unakuja,kama tulivyoongea jana?

Girl : Ndiyo my..

But baby Nikwambie kitu...

Boy : sema mpnz

Girl : Sasa mimi nitakujaje, nywele zipo hovyo sijaosha, wala kuset.. Alafu baby kucha zangu sijasafisha..

Nitumie pesa kidogo Kama 30,000/= hivi niende saloon..

Boy : Poa usijali subiri...

M-PESA : imethibitishwa 30,000/= salio lako jipya la M-PESA ni shilling 30,250/=....

Boy : Umeiona mpnz?

Girl: kimya

Boy : Mmh mbona hujibu?

Girl : Ooh sorry, my nimeiona, nilikuwa namuandalia baba chakula, ndiyo amerudi muda huu toka safari...

Mmh alafu sijui Kama ntaweza kutoka baby coz baba alivyorudi amenisema, juzi nilivyochelewa kurudi home, mama kamwambia kila kitu...

100(customer care Vodacom) : Karibu katika huduma ya watu waliotuma pesa kimakosa kupitia M-PESA...

Boy : Samahani nimetuma shillingi 30,000/= kwenda number xxxxx, naomba mnisaidie kuirudisha tafadhali...

100(customer care Vodacom) : OK subiri ombi lako linashughulikiwa na utarejeshewa kiasi hicho ndani ya masaa 24...

Girl (SMS imeingia toka M-PESA) : Imedhibitishwa kiasi cha shilling 30,000/= kilichotumwa kimakosa kimerudishwa, salio lako jipya la M-PESA ni shilling 250/=
Girl : Sasa baby ndiyo nini hivyo... [emoji7][emoji7]
Boy. Sio Mimi ni voda ao wamenionea uruma unavyo nichuna. [emoji23]
Girl. Aah baby voda gani wako ivyo
Girl.alafu Baba kalala nakuja nitumie basi
Boy. We njoo ila nishatumie iko buku jelo now[emoji23]
Mimi siyo mtu wa mchezo mchezo ati...

Sipendagi ujinga mimi...!!
nishawahi fanya huu ujinga

😍 😍 😍
 
Back
Top Bottom