Nilim-cheat Mpenzi wangu in 2012

Nilim-cheat Mpenzi wangu in 2012

Mkeo alicheat pia aliweka thread hapa zamani sana.we umechelewa mno kuileta mwaka mpy
 
wanaume bwana dah sio wakuamini kabisa...
mtuache tupumue sasa!
 
Mara saba nilimdanganya kuwa nina vikao vya ofisi na hivyo nitachelewa kurudi home, mara tatu nilimdanganya kuwa nasafiri kikazi ila kwa kweli nilikua kwenye hotel kadha wa kadha hapa hapa, mara mbili nilimdanganya kuwa naumwa na nahitaji kupumzika, hivyo nikabaki home na HG nikamtafuna wakati yeye akiwa kazini, mara tano nilimdanganya kuwa niko LUNCH kumbe nilitoka na Secretary wa Ofisi pale nanihii pale, mara nne nilimdanganya kuwa gari imeharibika wakati narudi toka Job kumbe nilikua na Binti wa Jirani tukila "RAHA", mara saba nilidanganya kuwa naenda sokoni na mdogo wake, kumbe tulichanganya na safari za gesti pia....

Mara kadhaa nilitoka na Rafiki yake mke wangu ambae ni Jirani yetu, sababu zilikua nyingi ikiwepo yeye (Jirani) kuja kuomba msaada wa gari nimempeleke Hospital but ukweli hakukua na ugonjwa wala mgonjwa zaidi ya kuishia Gesti/Hotel. Kuna katoto kashule kalikuja Likizo kwangu, ni ndugu wa mke wangu kwa Baba yake mdogo, nikawa natoka nako kimtindo, mara kibao nilijifanya nimechelewa kwenye foleni but ukweli nilikua kwenye mambo yangu, wengine sikukumbuki.

Nimejitahidi kuona mke wangu alini-cheat wapi sijaona hivyo nimeamua kutubu na kuomba msamaha kwa Jamii inisamehe na kunipokea mie mkosaji....Je wewe ulim-cheat Mpenzio? kwanini usitubu japo komoyomoyo tu na kubadilisha mwenendo wako? Mie nimetubu, jiunge na Mimi leo tuanze maisha mapya kwenye familia zetu, Heri ya mwaka Mpwa 2013. (Hainihusu mimi Elli) Jipime mwenyewe

nadhani toba la kweli ni lile la kwenda mbele ya madhabahu ya bwana na ku confess b4 the church, wahi cuz bado hujachelewa
 
Mwenye kutubu huwa anatubu kwa Mungu sio kwenye JF.
 
Mimi binafsi nimemdanganya mara 2 kuwa kuna mahali naenda kufanya kazi kumbe natoka na jirani mara 2 naenda shamba kumbe naenda kutanua viwanja mara 1 kuwa naenda kununua vitu Dar kumbe nilisafiri na dem tukaenda kujirusha Dar
 
It is You, thanks God for New and sustainable changes......!

Soma mistari ya mwisho, nimetoa angalizo kwa kujitolea mfano Mpwa ila sio mimi...ningekutolea mfano najua ungekua mkali sana ndio maana nikajitolea mfano mwenyewe...sio kitu halisia
 
kwa stahili hii,Mungu atakuandalia moto wako peke yako mkaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Mara saba nilimdanganya kuwa nina vikao vya ofisi na hivyo nitachelewa kurudi home, mara tatu nilimdanganya kuwa nasafiri kikazi ila kwa kweli nilikua kwenye hotel kadha wa kadha hapa hapa, mara mbili nilimdanganya kuwa naumwa na nahitaji kupumzika, hivyo nikabaki home na HG nikamtafuna wakati yeye akiwa kazini, mara tano nilimdanganya kuwa niko LUNCH kumbe nilitoka na Secretary wa Ofisi pale nanihii pale, mara nne nilimdanganya kuwa gari imeharibika wakati narudi toka Job kumbe nilikua na Binti wa Jirani tukila "RAHA", mara saba nilidanganya kuwa naenda sokoni na mdogo wake, kumbe tulichanganya na safari za gesti pia....

Mara kadhaa nilitoka na Rafiki yake mke wangu ambae ni Jirani yetu, sababu zilikua nyingi ikiwepo yeye (Jirani) kuja kuomba msaada wa gari nimempeleke Hospital but ukweli hakukua na ugonjwa wala mgonjwa zaidi ya kuishia Gesti/Hotel. Kuna katoto kashule kalikuja Likizo kwangu, ni ndugu wa mke wangu kwa Baba yake mdogo, nikawa natoka nako kimtindo, mara kibao nilijifanya nimechelewa kwenye foleni but ukweli nilikua kwenye mambo yangu, wengine sikukumbuki.

Nimejitahidi kuona mke wangu alini-cheat wapi sijaona hivyo nimeamua kutubu na kuomba msamaha kwa Jamii inisamehe na kunipokea mie mkosaji....Je wewe ulim-cheat Mpenzio? kwanini usitubu japo komoyomoyo tu na kubadilisha mwenendo wako? Mie nimetubu, jiunge na Mimi leo tuanze maisha mapya kwenye familia zetu, Heri ya mwaka Mpwa 2013. (Hainihusu mimi Elli) Jipime mwenyewe

Jesus Endured Suffering Under our Sins.......He will forgive all your mischiefs.

 
Let Sleeping Dogs Lie.....

AKA

Don't Poke the Bear, in short don't start something you can not finish let bygones be bygones
 
wanaume bwana dah sio wakuamini kabisa...
mtuache tupumue sasa!
sio wanaume wote......wapo wanawake nao wenye tabia hizo shukuru Mungu wewe kama hauko ivyo
 
Mara saba nilimdanganya kuwa
nina vikao vya ofisi na hivyo nitachelewa kurudi home, mara tatu
nilimdanganya kuwa nasafiri kikazi ila kwa kweli nilikua kwenye hotel
kadha wa kadha hapa hapa, mara mbili nilimdanganya kuwa naumwa na
nahitaji kupumzika, hivyo nikabaki home na HG nikamtafuna wakati yeye
akiwa kazini, mara tano nilimdanganya kuwa niko LUNCH kumbe nilitoka na
Secretary wa Ofisi pale nanihii pale, mara nne nilimdanganya kuwa gari
imeharibika wakati narudi toka Job kumbe nilikua na Binti wa Jirani
tukila "RAHA", mara saba nilidanganya kuwa naenda sokoni na mdogo wake,
kumbe tulichanganya na safari za gesti pia....

Mara kadhaa nilitoka na Rafiki yake mke wangu ambae ni Jirani yetu,
sababu zilikua nyingi ikiwepo yeye (Jirani) kuja kuomba msaada wa gari
nimempeleke Hospital but ukweli hakukua na ugonjwa wala mgonjwa zaidi ya
kuishia Gesti/Hotel. Kuna katoto kashule kalikuja Likizo kwangu, ni
ndugu wa mke wangu kwa Baba yake mdogo, nikawa natoka nako kimtindo,
mara kibao nilijifanya nimechelewa kwenye foleni but ukweli nilikua
kwenye mambo yangu, wengine sikukumbuki.

Nimejitahidi kuona mke wangu alini-cheat wapi sijaona hivyo nimeamua
kutubu na kuomba msamaha kwa Jamii inisamehe na kunipokea mie
mkosaji....Je wewe ulim-cheat Mpenzio? kwanini usitubu japo komoyomoyo
tu na kubadilisha mwenendo wako? Mie nimetubu, jiunge na Mimi leo tuanze
maisha mapya kwenye familia zetu, Heri ya mwaka Mpwa 2013. (Hainihusu
mimi Elli) Jipime mwenyewe

kha! kwa mwendo huu hakuna haja yakuingia kwenye ndoa...
yan ungekua mume wangu ww siku nkikufuma nakukata mashine kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Mimi binafsi nimemdanganya mara 2 kuwa kuna mahali naenda kufanya kazi kumbe natoka na jirani mara 2 naenda shamba kumbe naenda kutanua viwanja mara 1 kuwa naenda kununua vitu Dar kumbe nilisafiri na dem tukaenda kujirusha Dar
Kumbe ni wengi sana
 
Mpwa nimecheka sana, dhambi haina level ya juu wala ya chini, ndogo wala kubwa hubaki kuwa dhambi tu....hata hivyo sio mimi bhana ni changamoto kwetu sote

Mpwa ulini-quote vibaya, nilisema ni level ya juu kabisa ya dharau na siyo dhambi! Nje ya hapo, heri ya mwaka mpya wa 2013!!!
 
Mpwa ulini-quote vibaya, nilisema ni level ya juu kabisa ya dharau na siyo dhambi! Nje ya hapo, heri ya mwaka mpya wa 2013!!!

Sasa nimekusoma uzuri sana Mpwa, heri ya 2013, tusi-cheat tena
 
Back
Top Bottom