Mara saba nilimdanganya kuwa nina vikao vya ofisi na hivyo nitachelewa kurudi home, mara tatu nilimdanganya kuwa nasafiri kikazi ila kwa kweli nilikua kwenye hotel kadha wa kadha hapa hapa, mara mbili nilimdanganya kuwa naumwa na nahitaji kupumzika, hivyo nikabaki home na HG nikamtafuna wakati yeye akiwa kazini, mara tano nilimdanganya kuwa niko LUNCH kumbe nilitoka na Secretary wa Ofisi pale nanihii pale, mara nne nilimdanganya kuwa gari imeharibika wakati narudi toka Job kumbe nilikua na Binti wa Jirani tukila "RAHA", mara saba nilidanganya kuwa naenda sokoni na mdogo wake, kumbe tulichanganya na safari za gesti pia....
Mara kadhaa nilitoka na Rafiki yake mke wangu ambae ni Jirani yetu, sababu zilikua nyingi ikiwepo yeye (Jirani) kuja kuomba msaada wa gari nimempeleke Hospital but ukweli hakukua na ugonjwa wala mgonjwa zaidi ya kuishia Gesti/Hotel. Kuna katoto kashule kalikuja Likizo kwangu, ni ndugu wa mke wangu kwa Baba yake mdogo, nikawa natoka nako kimtindo, mara kibao nilijifanya nimechelewa kwenye foleni but ukweli nilikua kwenye mambo yangu, wengine sikukumbuki.
Nimejitahidi kuona mke wangu alini-cheat wapi sijaona hivyo nimeamua kutubu na kuomba msamaha kwa Jamii inisamehe na kunipokea mie mkosaji....Je wewe ulim-cheat Mpenzio? kwanini usitubu japo komoyomoyo tu na kubadilisha mwenendo wako? Mie nimetubu, jiunge na Mimi leo tuanze maisha mapya kwenye familia zetu, Heri ya mwaka Mpwa 2013. (Hainihusu mimi Elli) Jipime mwenyewe
sio zangu, ni za kila mwanaume khadah!..ebana embu ngoja niiweke hizi data zako kwenye graph tuone imekaaje!..nadhani itasaidia wadau kuchambua vizur!
sio zangu, ni za kila mwanaume kha
Yani mi naona siku izi kila kitu mchina kuanzia urafiki,uchumba,kwenye ndoa ndo usiseme,,
Inabid tu kua na moyo wa chuma ama unaeza pata presha bure
umenena vyema Mpwasolution fupi ni kuwa na moyo wa mchina as well!..
Mara saba nilimdanganya kuwa nina vikao vya ofisi na hivyo nitachelewa kurudi home, mara tatu nilimdanganya kuwa nasafiri kikazi ila kwa kweli nilikua kwenye hotel kadha wa kadha hapa hapa, mara mbili nilimdanganya kuwa naumwa na nahitaji kupumzika, hivyo nikabaki home na HG nikamtafuna wakati yeye akiwa kazini, mara tano nilimdanganya kuwa niko LUNCH kumbe nilitoka na Secretary wa Ofisi pale nanihii pale, mara nne nilimdanganya kuwa gari imeharibika wakati narudi toka Job kumbe nilikua na Binti wa Jirani tukila "RAHA", mara saba nilidanganya kuwa naenda sokoni na mdogo wake, kumbe tulichanganya na safari za gesti pia....
Mara kadhaa nilitoka na Rafiki yake mke wangu ambae ni Jirani yetu, sababu zilikua nyingi ikiwepo yeye (Jirani) kuja kuomba msaada wa gari nimempeleke Hospital but ukweli hakukua na ugonjwa wala mgonjwa zaidi ya kuishia Gesti/Hotel. Kuna katoto kashule kalikuja Likizo kwangu, ni ndugu wa mke wangu kwa Baba yake mdogo, nikawa natoka nako kimtindo, mara kibao nilijifanya nimechelewa kwenye foleni but ukweli nilikua kwenye mambo yangu, wengine sikukumbuki.
Nimejitahidi kuona mke wangu alini-cheat wapi sijaona hivyo nimeamua kutubu na kuomba msamaha kwa Jamii inisamehe na kunipokea mie mkosaji....Je wewe ulim-cheat Mpenzio? kwanini usitubu japo komoyomoyo tu na kubadilisha mwenendo wako? Mie nimetubu, jiunge na Mimi leo tuanze maisha mapya kwenye familia zetu, Heri ya mwaka Mpwa 2013. (Hainihusu mimi Elli) Jipime mwenyewe
Hahahaaaaa Mpwa una visa wewe.....Mkuu kichwa yako iko njema sana, mimi huwa ikipita wiki moja nasahau yoote!
Mara saba nilimdanganya kuwa nina vikao vya ofisi na hivyo nitachelewa kurudi home, mara tatu nilimdanganya kuwa nasafiri kikazi ila kwa kweli nilikua kwenye hotel kadha wa kadha hapa hapa, mara mbili nilimdanganya kuwa naumwa na nahitaji kupumzika, hivyo nikabaki home na HG nikamtafuna wakati yeye akiwa kazini, mara tano nilimdanganya kuwa niko LUNCH kumbe nilitoka na Secretary wa Ofisi pale nanihii pale, mara nne nilimdanganya kuwa gari imeharibika wakati narudi toka Job kumbe nilikua na Binti wa Jirani tukila "RAHA", mara saba nilidanganya kuwa naenda sokoni na mdogo wake, kumbe tulichanganya na safari za gesti pia....
Mara kadhaa nilitoka na Rafiki yake mke wangu ambae ni Jirani yetu, sababu zilikua nyingi ikiwepo yeye (Jirani) kuja kuomba msaada wa gari nimempeleke Hospital but ukweli hakukua na ugonjwa wala mgonjwa zaidi ya kuishia Gesti/Hotel. Kuna katoto kashule kalikuja Likizo kwangu, ni ndugu wa mke wangu kwa Baba yake mdogo, nikawa natoka nako kimtindo, mara kibao nilijifanya nimechelewa kwenye foleni but ukweli nilikua kwenye mambo yangu, wengine sikukumbuki.
Nimejitahidi kuona mke wangu alini-cheat wapi sijaona hivyo nimeamua kutubu na kuomba msamaha kwa Jamii inisamehe na kunipokea mie mkosaji....Je wewe ulim-cheat Mpenzio? kwanini usitubu japo komoyomoyo tu na kubadilisha mwenendo wako? Mie nimetubu, jiunge na Mimi leo tuanze maisha mapya kwenye familia zetu, Heri ya mwaka Mpwa 2013. (Hainihusu mimi Elli) Jipime mwenyewe
mwaka jana nilimcheat mke wangu na wanawake 10 nimeamua kuacha, Mungu anisamehe kwa kweli. inaniuma sana moyoni na ninajisikia aibu mbele za Mungu, EE MUNGU NISAMEHE TOKA MOYONI, sitaki tena kuzini mimi.
I did it at my own risk ili tusaidiane kuziba kila mianya ya kuwadanganya wake zetu, naamini kuna akina dada wataelewa hizi baadhi ya tekniki zetuHivi kwa nini mnajitafutia matatizo? Hivi mke wako angekufuma kwa namna moja au nyingine ukiwa unaandika hii msg kabla ya kumalizia sio wewe bali umejitolea mfano, unadhani hali ya ndoa yako ingekuwaje? Do it at your own risk.
hio ni amri ya tisa mwanaNitasema ukweli daima uongo kwako mwiko ,hii ni amri ya ngapi ya tanu?
Hahahaaaa nimecheka hadi basi, Heri ya mwaka mpya Mpwa.
Nawe pia na wenetu wote !