Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 5,707
- 11,962
Siku vijana mtakapoacha kujifungamanisha na maagano ya mahusiano ya wanawake wasiojielewa ndipo watakapoanza kupata akili ya maisha yanataka nini.
Siku vijana tutakapoacha kuentertain wanawake wenye watoto ndipo mtakapoanza kuona idadi ya Single mothers ikishuka maana watajua wanaume hawaoi wanawake wenye watoto na wanaume wengine so watakuwa makini sana na nani wanampa nyuchi zao wazae nae.
Leo wanajiachia maana wanajua kuna mabwege yapo katika jamii yatatumia pesa na mali zao kulea watoto wasio damu zao ili waonekane mashujaa katika jamii hii isiyowatambua umuhimu wao wala kuwajali kwa lolote kiuhalisia.
Mbona wanawake wanajua wanaume wanataka wanawake warembo na ndio maana unaona wanawake wanapambana kutwa kucha tena kwa gharama kubwa kujiweka sopu sopu ili waweze kucompete kwenye soko la kudanga.
Kwann vijana msijiwekee standards kuwa hamtaoa na kuweka ndani mwanamke asiye na bikra, hayo ya kuwa na mtoto au kuwa alishalala na wanaume zaidi ya sita automatically mabinti watayatokomeza hayatakuwapo maana itakuwa tishio kwa future yao. Ila wanayafanya sababu jamii haijawa strict nao juu ya hilo na inawaambia kitanda hakizai haramu, hawara hatangazwi na kauli zingine za kipumbavu.
Kimsingi wanawake wanaofanya haya matukio wanajua kuwa kuna kundi la wanaume wanakubaliana nao na wapo tayari kulower standards zao ili kuwa nao, hawajui kuucheza huu mchezo kwa advantage zao.
Imagine mwanamke ana mtoto wewe unakwenda kuoa ili iweje,ili mtoto awe wako au unataka kuprove nini kwenye nafsi yako kwamba unajua kucare au?!
Mbona mwanamke anaweza kukukataa wewe kwa standards zao walizojiwekea na jamii haiwahukumu kwann wewe uogope kuifokea jamii pale itakapokuhumu kwa kuweka standards zako?
Wanawake wao hawataki mwanaume mfupi wanataka mrefu, wanataka mwenye gari,nyumba,mwenye mshahara mkubwa au biashara inayompa pesa nyingi, wanataka handsome, and trust me mwanamke akikukuta hauna hata kimojawapo hawezi kukukubali hata iweje,ila wewe ulivyo fala sasa anakujia mwanamke hana bikra, ameshalalwa na wanaume zaidi ya 1,ametoa ujauzito mara kadhaa, hana pesa kusema atakuwa na mchango kwenye uchumi wako,na mbaya zaidi ana mtoto,mwili wake umeshaanza kuchakaa kwa maana ya matiti yamelala,mafuta yameanza kujaa sehemu za mwili ambazo hazitakiwi kujaa, ana stress za mahusiano yaliyopita,ana mawenge ya fikra,hana mbinu za kiuchumi za kushirikiana nae mtoboe maisha,na bado ana mabwana ana wasiliana nao,wewe ulivyo fala unampigia goti KUMUOMBA ridhaa, tena kwa unyenyekevu ya kuwa nae kimaisha aje kuwa mkeo na wa ndoa, mrithi wa mali zako yeye na watoto au mtoto wake aliyempata na mwanaume mwingine, na kutumia pesa zako kuendesha maisha yake, sio yenu.
Niambie kama sio upumbavu huu enyi watoto wa kiume mnaojiita marijali wa kubebelea mizigo ya wengine. Unamkosea MUNGU aliyeagiza mwanamke Bikra ndio apewe heshima ya mke, unawakosea mabinti wenye bikra zao waliojitunza wakimuomba MUNGU awape mume wanaestahiki awaongoze katika njia njema ya maisha wajijenge na kuwa imara kimaisha, mbaya zaidi unawakosea wazazi wako kukuleta duniani ujenge legacy ya kiume unajenga upumbavu, unaikosea jamii kwa kushusha standards za mwanaume.
Siku vijana tutakapoacha kuentertain wanawake wenye watoto ndipo mtakapoanza kuona idadi ya Single mothers ikishuka maana watajua wanaume hawaoi wanawake wenye watoto na wanaume wengine so watakuwa makini sana na nani wanampa nyuchi zao wazae nae.
Leo wanajiachia maana wanajua kuna mabwege yapo katika jamii yatatumia pesa na mali zao kulea watoto wasio damu zao ili waonekane mashujaa katika jamii hii isiyowatambua umuhimu wao wala kuwajali kwa lolote kiuhalisia.
Mbona wanawake wanajua wanaume wanataka wanawake warembo na ndio maana unaona wanawake wanapambana kutwa kucha tena kwa gharama kubwa kujiweka sopu sopu ili waweze kucompete kwenye soko la kudanga.
Kwann vijana msijiwekee standards kuwa hamtaoa na kuweka ndani mwanamke asiye na bikra, hayo ya kuwa na mtoto au kuwa alishalala na wanaume zaidi ya sita automatically mabinti watayatokomeza hayatakuwapo maana itakuwa tishio kwa future yao. Ila wanayafanya sababu jamii haijawa strict nao juu ya hilo na inawaambia kitanda hakizai haramu, hawara hatangazwi na kauli zingine za kipumbavu.
Kimsingi wanawake wanaofanya haya matukio wanajua kuwa kuna kundi la wanaume wanakubaliana nao na wapo tayari kulower standards zao ili kuwa nao, hawajui kuucheza huu mchezo kwa advantage zao.
Imagine mwanamke ana mtoto wewe unakwenda kuoa ili iweje,ili mtoto awe wako au unataka kuprove nini kwenye nafsi yako kwamba unajua kucare au?!
Mbona mwanamke anaweza kukukataa wewe kwa standards zao walizojiwekea na jamii haiwahukumu kwann wewe uogope kuifokea jamii pale itakapokuhumu kwa kuweka standards zako?
Wanawake wao hawataki mwanaume mfupi wanataka mrefu, wanataka mwenye gari,nyumba,mwenye mshahara mkubwa au biashara inayompa pesa nyingi, wanataka handsome, and trust me mwanamke akikukuta hauna hata kimojawapo hawezi kukukubali hata iweje,ila wewe ulivyo fala sasa anakujia mwanamke hana bikra, ameshalalwa na wanaume zaidi ya 1,ametoa ujauzito mara kadhaa, hana pesa kusema atakuwa na mchango kwenye uchumi wako,na mbaya zaidi ana mtoto,mwili wake umeshaanza kuchakaa kwa maana ya matiti yamelala,mafuta yameanza kujaa sehemu za mwili ambazo hazitakiwi kujaa, ana stress za mahusiano yaliyopita,ana mawenge ya fikra,hana mbinu za kiuchumi za kushirikiana nae mtoboe maisha,na bado ana mabwana ana wasiliana nao,wewe ulivyo fala unampigia goti KUMUOMBA ridhaa, tena kwa unyenyekevu ya kuwa nae kimaisha aje kuwa mkeo na wa ndoa, mrithi wa mali zako yeye na watoto au mtoto wake aliyempata na mwanaume mwingine, na kutumia pesa zako kuendesha maisha yake, sio yenu.
Niambie kama sio upumbavu huu enyi watoto wa kiume mnaojiita marijali wa kubebelea mizigo ya wengine. Unamkosea MUNGU aliyeagiza mwanamke Bikra ndio apewe heshima ya mke, unawakosea mabinti wenye bikra zao waliojitunza wakimuomba MUNGU awape mume wanaestahiki awaongoze katika njia njema ya maisha wajijenge na kuwa imara kimaisha, mbaya zaidi unawakosea wazazi wako kukuleta duniani ujenge legacy ya kiume unajenga upumbavu, unaikosea jamii kwa kushusha standards za mwanaume.