Goddess
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 7,397
- 25,841
Kutesa kwa zamu na lako limefika tuoneane tu hakuna namna🙄🙄
🚶🚶🚶
Kutesa kwa zamu na lako limefika tuoneane tu hakuna namna🙄🙄
🚶🚶🚶
Umeamini?Lazima kuna ng'ombe walikufa kutokana na ukatili wako! wewe ni muuaji, ni mwizi, umeharibu uchumi wa wanakijiji. Hiyo dhambi itubu tu, Hata Mungu hapendi na ndio maana unafeel guilty na umeanza kuropoka matendo yako!
Story za kijiweni mkuu, za kuchangamsha kijiwe... Hakuna ng'ombe utamkata ulimi kirahisi hivyo... Never
🤪Kutesa kwa zamu na lako limefika tuoneane tu hakuna namna
Covid ikiniona inanisalimia imagine ngolo khante ni mzuri😆🤪
Unajisura kama covid 😜😂
😳😳Covid ikiniona inanisalimia imagine ngolo khante ni mzuri😆
Kweli ni pumba. Wewe kijijini ulimi zote hizo hata usishtukiwe kwa biashara chafu hivyo? Hata ng'ombe wasionyeshe dalili ya kuumwa maana ulimi ni kiumbe cha maumivu sana kikikatwa. Pili, hao wanakijiji wasikuulize kila siku unapata ulimi wapi maana ng'ombe kijijini kuchinjwa kwa wingi mpk upate ulimi zote hizo kuna maswali lazima yawepo. Toa pumba hapa.
Kipindi fulani nikiwa kijijini nilikuwa nimebuni kitoweo ambacho kwa kweli kulikuwa kinanipa sana nyama ila kupatikana kwake haikuwa kazi ndogo.
Nilikuwa nakata ndimi za ng'ombe na kunywa supu bila wenye ng'ombe kujua kama wanyama wao hawana ndimi. Siku moja nikiwa nimekaa wazo likaniijia namna gani naweza kupata vitoweo kwa ajili ya ugali. Niliwaza uvuvi ila kijijini hakukuwa na chanzo chochote cha maji ambacho kinaweza kufanya uvuvi.
Siku moja nikapata wazo na kukata ndimi za ng'ombe na nikafanya majaribio nikaona mafanikio ni makubwa sana. Nilichokuwa nafanya ni kwenda zizini kwa mtu usiku na kumfunga ng'ombe kwa kamba imara ili asinijeruhi (kwa wale ng'ombe wakorofi) nikishamfunga nabana taya zake kwa vidole kisha atatoa ulimi nje, akitoa tu naukata kwa kisu nusu ya ulimi nakuwa nimeikata na kisha nampaka chumvi na dawa moja hivi ya kienyeji ili asioze ulimi.
Basi nilikuwa nafanya hadi kupata ndimi 10 kwa usiku mmoja, ilikuwa ni kazi ya hatari ila nilikuwa napata sana pesa na kitoweo kwa ajili hiyo. Mafanikio yakawa makubwa na sasa nikaamua kuuza supu ya ulimi pale kijijini hakuna mtu alijua kuwa asilimia kadhaa ya ng'ombe wamekatwa ndimi kijijini pale. Basi nikawa napika jioni supu, usiku naenda kutafuta ndimi kwenye mazizi ya ng'ombe.
Ile kazi iliendelea baadae nikaona soko limekuwa baya nikaamua kuacha maana ndimi ziliadimika sana, kuna muda nikawa naenda hadi vijiji jirani kupata hizo ndimi kwa ajili ya biashara na kitoweo.
Vijana ajira ni akili yako sio akili za wanasiasa.
😆😆😆😆😳😳
Kwaheri mi aenda kojoa kisha alala umenichinda tabia..
Usitengeneze moyo wako uwe jalala la kubeba kila uchafu.Shule zinafunguliwa lini? Watu wanaandika tu mambo ya kipumbavu wakidhani sote tuna akili za kipumbavu kama hizi.
Unaona umeandika jambo la kufurahisha? Umeandika upumbuvuh.hata kama ulikuwa umewahi kukata mmoja huoni kama ni ukatili? Huoni ni ushetani? Huwa unapenda kupata sifa za kijinga kuwa unachekesha.this aint no fun at all.
Yaani hata huoni aibu kusimulia mambo ya kipuuzi kama haya. Una uzoefu wa kumwaga damu, wewe hata mtu unaweza ukamuuaKipindi fulani nikiwa kijijini nilikuwa nimebuni kitoweo ambacho kwa kweli kulikuwa kinanipa sana nyama ila kupatikana kwake haikuwa kazi ndogo.
Nilikuwa nakata ndimi za ng'ombe na kunywa supu bila wenye ng'ombe kujua kama wanyama wao hawana ndimi. Siku moja nikiwa nimekaa wazo likaniijia namna gani naweza kupata vitoweo kwa ajili ya ugali. Niliwaza uvuvi ila kijijini hakukuwa na chanzo chochote cha maji ambacho kinaweza kufanya uvuvi.
Siku moja nikapata wazo na kukata ndimi za ng'ombe na nikafanya majaribio nikaona mafanikio ni makubwa sana. Nilichokuwa nafanya ni kwenda zizini kwa mtu usiku na kumfunga ng'ombe kwa kamba imara ili asinijeruhi (kwa wale ng'ombe wakorofi) nikishamfunga nabana taya zake kwa vidole kisha atatoa ulimi nje, akitoa tu naukata kwa kisu nusu ya ulimi nakuwa nimeikata na kisha nampaka chumvi na dawa moja hivi ya kienyeji ili asioze ulimi.
Basi nilikuwa nafanya hadi kupata ndimi 10 kwa usiku mmoja, ilikuwa ni kazi ya hatari ila nilikuwa napata sana pesa na kitoweo kwa ajili hiyo. Mafanikio yakawa makubwa na sasa nikaamua kuuza supu ya ulimi pale kijijini hakuna mtu alijua kuwa asilimia kadhaa ya ng'ombe wamekatwa ndimi kijijini pale. Basi nikawa napika jioni supu, usiku naenda kutafuta ndimi kwenye mazizi ya ng'ombe.
Ile kazi iliendelea baadae nikaona soko limekuwa baya nikaamua kuacha maana ndimi ziliadimika sana, kuna muda nikawa naenda hadi vijiji jirani kupata hizo ndimi kwa ajili ya biashara na kitoweo.
Vijana ajira ni akili yako sio akili za wanasiasa.