Nilikuwa nakula sana ndimi za ng'ombe

Nilikuwa nakula sana ndimi za ng'ombe

Mimi nimekulia kijijini; Hii story yako ipelekwe jukwa LA mzaha!
KILA MFUGAJI HAKOSI KUWA NA MBWA! MBWA WAKALI,
we pimbi hao MBWA wasikuone hadi unapanua mdomo ng'ombe? Au hao ng'ombe walikupa ulimi kama denda?

ETI HADI NG'OMBE WAKAADIMIKA NDIMI!
Thubutu, labda ng'ombe Wa mabua!

Kwanza kila zizi kuna ng'ombe kichaa!

Shwain pimbi mkubwa weye uache urongo wako!
Eti Mbwa mkali.

Hao mbwa wakali walikuwa wana mahusiano gani na hizo ndimi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti Mbwa mkali.

Hao mbwa wakali walikuwa wana mahusiano gani na hizo ndimi.

Sent using Jamii Forums mobile app
We mhuni tu umekosa shughuli ya kufanya umeamua kuposti chai na uzuri wajuvi wametueleza ni porojo labda ng'ombe wa mabua

Sababu huyo ng'ombe angekuwa analia sana kiasi kuvuta attention ya mfugaji na angekonda sababu angekuwa anakula kwa mateso na maumivu

Acha Porojo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We mhuni tu umekosa shughuli ya kufanya umeamua kuposti chai na uzuri wajuvi wametueleza ni porojo labda ng'ombe wa mabua

Sababu huyo ng'ombe angekuwa analia sana kiasi kuvuta attention ya mfugaji na angekonda sababu angekuwa anakula kwa mateso na maumivu

Acha Porojo

Sent using Jamii Forums mobile app
Huna maarifa yoyote ya wanyama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom