Nilikuwa nakula sana ndimi za ng'ombe

Nilikuwa nakula sana ndimi za ng'ombe

[emoji2296] mm nafanana na dad[emoji38] u can relate
Your dad anafaa ndio maana Mum wako alikufa na Kuzoa kwake hadi ukazaliwa. By the way beauty si sura tu pamoja na tabia nzuri
 
Nilivyoona kichwa cha habari tu nikajua ulikuwa ukiwapiga denda ng'ombe!😂
 
hii chai hii, hivi huyu chizi anajua seleka la kumkata ng'ombe ulimi???
 
Mkuu wewe ni katili sana,kutakuwa na matukio mabaya umeshayafanya sana kwenye maisha yako ndiyo maana hata akili zako kama haziko sawa vile.
 
Bdo ukiniambia ww intro nakataaa[emoji38][emoji38]
Kwani kipi kimenivua u intro hapo..??
Wanawake hamuishigi visababu!

Nami ukiniambia wewe si mapengo walahi nakataaaaa..
 
Kwani kipi kimenivua u intro hapo..??
Wanawake hamuishigi visababu!

Nami ukiniambia wewe si mapengo walahi nakataaaaa..
Mm ni mapengo kweli
Umewaza mbali bro as umetoa sarcastic answer nika come hvyo
Samahani sana
Nisamehe bure
 
Hii ya leo hujaifikiria vizuri mtanesko. Rudi tena chimbo.
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Mm ni mapengo kweli
Umewaza mbali bro as umetoa sarcastic answer nika come hvyo
Samahani sana
Nisamehe bure
😂😂
Don't take it seriously ni utani kumbe nami naweza tisha mtu💪💪
Mi huwa napiga halafu hospitali nakupeleka mwenyewe..😂😂
 
Samahani tena aisee
Nimepata mtu wa kuonea JF😂😂
Yaani wewe unaomba tu samahani!!
Ha ha! Hapa itakuwa sijapata ila nimepatikana! Naomba niongeze na mwendo hizo samahani duh!🏃🏃🏃
 
Back
Top Bottom