Nilikuwa nakula sana ndimi za ng'ombe

Nilikuwa nakula sana ndimi za ng'ombe

nimepata mtu wa kuonea jf😂😂
Yani we unaomba tu samahani!!
Ha ha! Hapa itakuwa sijapata ila nimepatikana! Naomba niongeze na mwendo hizo samahani duh!🏃🏃🏃
Ukinionea sawa utakua umeamua
Sipendi kukwaza mtu ndo maana cha kwanza hua natanguliza samahani
 
Kipindi fulani nikiwa kijijini nilikuwa nimebuni kitoweo ambacho kwa kweli kulikuwa kinanipa sana nyama ila kupatikana kwake haikuwa kazi ndogo.

Nilikuwa nakata ndimi za ng'ombe na kunywa supu bila wenye ng'ombe kujua kama wanyama wao hawana ndimi. Siku moja nikiwa nimekaa wazo likaniijia namna gani naweza kupata vitoweo kwa ajili ya ugali. Niliwaza uvuvi ila kijijini hakukuwa na chanzo chochote cha maji ambacho kinaweza kufanya uvuvi.

Siku moja nikapata wazo na kukata ndimi za ng'ombe na nikafanya majaribio nikaona mafanikio ni makubwa sana. Nilichokuwa nafanya ni kwenda zizini kwa mtu usiku na kumfunga ng'ombe kwa kamba imara ili asinijeruhi (kwa wale ng'ombe wakorofi) nikishamfunga nabana taya zake kwa vidole kisha atatoa ulimi nje, akitoa tu naukata kwa kisu nusu ya ulimi nakuwa nimeikata na kisha nampaka chumvi na dawa moja hivi ya kienyeji ili asioze ulimi.

Basi nilikuwa nafanya hadi kupata ndimi 10 kwa usiku mmoja, ilikuwa ni kazi ya hatari ila nilikuwa napata sana pesa na kitoweo kwa ajili hiyo. Mafanikio yakawa makubwa na sasa nikaamua kuuza supu ya ulimi pale kijijini hakuna mtu alijua kuwa asilimia kadhaa ya ng'ombe wamekatwa ndimi kijijini pale. Basi nikawa napika jioni supu, usiku naenda kutafuta ndimi kwenye mazizi ya ng'ombe.

Ile kazi iliendelea baadae nikaona soko limekuwa baya nikaamua kuacha maana ndimi ziliadimika sana, kuna muda nikawa naenda hadi vijiji jirani kupata hizo ndimi kwa ajili ya biashara na kitoweo.

Vijana ajira ni akili yako sio akili za wanasiasa.
Aiseeeee Story yako nzuri inaizidi ya ALFU LELA ULELA MFALME JUHA.
 
Story ya kufikirika halafu watu wameamini na kusikitika......watu hawawezi kujiuliza maswali ya msingi wanalia lia tuu
 
hii chai yako ya leo inanuka mimoshiii, nadhani utakuwa umepikia mavi ya ng'ombe uliowakata ndimi zao
 
Kipindi fulani nikiwa kijijini nilikuwa nimebuni kitoweo ambacho kwa kweli kulikuwa kinanipa sana nyama ila kupatikana kwake haikuwa kazi ndogo.

Nilikuwa nakata ndimi za ng'ombe na kunywa supu bila wenye ng'ombe kujua kama wanyama wao hawana ndimi. Siku moja nikiwa nimekaa wazo likaniijia namna gani naweza kupata vitoweo kwa ajili ya ugali. Niliwaza uvuvi ila kijijini hakukuwa na chanzo chochote cha maji ambacho kinaweza kufanya uvuvi.

Siku moja nikapata wazo na kukata ndimi za ng'ombe na nikafanya majaribio nikaona mafanikio ni makubwa sana. Nilichokuwa nafanya ni kwenda zizini kwa mtu usiku na kumfunga ng'ombe kwa kamba imara ili asinijeruhi (kwa wale ng'ombe wakorofi) nikishamfunga nabana taya zake kwa vidole kisha atatoa ulimi nje, akitoa tu naukata kwa kisu nusu ya ulimi nakuwa nimeikata na kisha nampaka chumvi na dawa moja hivi ya kienyeji ili asioze ulimi.

Basi nilikuwa nafanya hadi kupata ndimi 10 kwa usiku mmoja, ilikuwa ni kazi ya hatari ila nilikuwa napata sana pesa na kitoweo kwa ajili hiyo. Mafanikio yakawa makubwa na sasa nikaamua kuuza supu ya ulimi pale kijijini hakuna mtu alijua kuwa asilimia kadhaa ya ng'ombe wamekatwa ndimi kijijini pale. Basi nikawa napika jioni supu, usiku naenda kutafuta ndimi kwenye mazizi ya ng'ombe.

Ile kazi iliendelea baadae nikaona soko limekuwa baya nikaamua kuacha maana ndimi ziliadimika sana, kuna muda nikawa naenda hadi vijiji jirani kupata hizo ndimi kwa ajili ya biashara na kitoweo.

Vijana ajira ni akili yako sio akili za wanasiasa.
Ndimi hizo unamaanisha social media...big up

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwa hapa umefeli unakata ulimi wa viumbe ulikuwa unawapa mateso makubwa sana ungegundulika nnchi zilizo endelea ungekuwa na mashtaka mawili la wizi na ungeshitakiwa na watetezi wa haki za wanyama kukata ulimi unawaacha na mateso hao hao Ng'ombe.

Na assume tungekukata wewe ulimi hayo maumivu vipi na isitoshe ungekuwa unakulaje?

Hii story ya leo umefeli, ila unajitaidi kutunga leta zingine tuta support unajitaidi ila kwa hii ya leo hapana
Ujumbe hupo msatri wa mwisho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umkate ulimi asipige kelele mpaka wenyewe waamke? Wewe mkuu ni lijinga!
Kipindi fulani nikiwa kijijini nilikuwa nimebuni kitoweo ambacho kwa kweli kulikuwa kinanipa sana nyama ila kupatikana kwake haikuwa kazi ndogo.

Nilikuwa nakata ndimi za ng'ombe na kunywa supu bila wenye ng'ombe kujua kama wanyama wao hawana ndimi. Siku moja nikiwa nimekaa wazo likaniijia namna gani naweza kupata vitoweo kwa ajili ya ugali. Niliwaza uvuvi ila kijijini hakukuwa na chanzo chochote cha maji ambacho kinaweza kufanya uvuvi.

Siku moja nikapata wazo na kukata ndimi za ng'ombe na nikafanya majaribio nikaona mafanikio ni makubwa sana. Nilichokuwa nafanya ni kwenda zizini kwa mtu usiku na kumfunga ng'ombe kwa kamba imara ili asinijeruhi (kwa wale ng'ombe wakorofi) nikishamfunga nabana taya zake kwa vidole kisha atatoa ulimi nje, akitoa tu naukata kwa kisu nusu ya ulimi nakuwa nimeikata na kisha nampaka chumvi na dawa moja hivi ya kienyeji ili asioze ulimi.

Basi nilikuwa nafanya hadi kupata ndimi 10 kwa usiku mmoja, ilikuwa ni kazi ya hatari ila nilikuwa napata sana pesa na kitoweo kwa ajili hiyo. Mafanikio yakawa makubwa na sasa nikaamua kuuza supu ya ulimi pale kijijini hakuna mtu alijua kuwa asilimia kadhaa ya ng'ombe wamekatwa ndimi kijijini pale. Basi nikawa napika jioni supu, usiku naenda kutafuta ndimi kwenye mazizi ya ng'ombe.

Ile kazi iliendelea baadae nikaona soko limekuwa baya nikaamua kuacha maana ndimi ziliadimika sana, kuna muda nikawa naenda hadi vijiji jirani kupata hizo ndimi kwa ajili ya biashara na kitoweo.

Vijana ajira ni akili yako sio akili za wanasiasa.
 
Ukinionea sawa utakua umeamua
Sipendi kukwaza mtu ndo maana cha kwanza hua natanguliza samahani
Usiogope haujanikwaza hata tone tatizo umeogopa it's just a joke hakuna u serious pale..

Ila ahsante kwa kukubali nikuonee😂
Nnavyopenda sifa nyuma ya key body mpaka utaomba pooo..😜

So watakanambia kale ka komenti ndo kananifanya mi nisiwe intro..?? Unanionea bure!
 
Kipindi fulani nikiwa kijijini nilikuwa nimebuni kitoweo ambacho kwa kweli kulikuwa kinanipa sana nyama ila kupatikana kwake haikuwa kazi ndogo.

Nilikuwa nakata ndimi za ng'ombe na kunywa supu bila wenye ng'ombe kujua kama wanyama wao hawana ndimi. Siku moja nikiwa nimekaa wazo likaniijia namna gani naweza kupata vitoweo kwa ajili ya ugali. Niliwaza uvuvi ila kijijini hakukuwa na chanzo chochote cha maji ambacho kinaweza kufanya uvuvi.

Siku moja nikapata wazo na kukata ndimi za ng'ombe na nikafanya majaribio nikaona mafanikio ni makubwa sana. Nilichokuwa nafanya ni kwenda zizini kwa mtu usiku na kumfunga ng'ombe kwa kamba imara ili asinijeruhi (kwa wale ng'ombe wakorofi) nikishamfunga nabana taya zake kwa vidole kisha atatoa ulimi nje, akitoa tu naukata kwa kisu nusu ya ulimi nakuwa nimeikata na kisha nampaka chumvi na dawa moja hivi ya kienyeji ili asioze ulimi.

Basi nilikuwa nafanya hadi kupata ndimi 10 kwa usiku mmoja, ilikuwa ni kazi ya hatari ila nilikuwa napata sana pesa na kitoweo kwa ajili hiyo. Mafanikio yakawa makubwa na sasa nikaamua kuuza supu ya ulimi pale kijijini hakuna mtu alijua kuwa asilimia kadhaa ya ng'ombe wamekatwa ndimi kijijini pale. Basi nikawa napika jioni supu, usiku naenda kutafuta ndimi kwenye mazizi ya ng'ombe.

Ile kazi iliendelea baadae nikaona soko limekuwa baya nikaamua kuacha maana ndimi ziliadimika sana, kuna muda nikawa naenda hadi vijiji jirani kupata hizo ndimi kwa ajili ya biashara na kitoweo.

Vijana ajira ni akili yako sio akili za wanasiasa.
kamata mizii men

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nimecheka Sana hii story yako

Ungekuwa unakata na pumbu
IMG-20200412-WA0000.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nimekulia kijijini; Hii story yako ipelekwe jukwa LA mzaha!
KILA MFUGAJI HAKOSI KUWA NA MBWA! MBWA WAKALI,
we pimbi hao MBWA wasikuone hadi unapanua mdomo ng'ombe? Au hao ng'ombe walikupa ulimi kama denda?

ETI HADI NG'OMBE WAKAADIMIKA NDIMI!
Thubutu, labda ng'ombe Wa mabua!

Kwanza kila zizi kuna ng'ombe kichaa!

Shwain pimbi mkubwa weye uache urongo wako!
dahhh, nimecheka sana.


thanks mkuu you made my day bro
 
Usiogope haujanikwaza hata tone tatizo umeogopa it's just a joke hakuna u serious pale..

Ila ahsante kwa kukubali nikuonee😂
Nnavyopenda sifa nyuma ya key body mpaka utaomba pooo..😜

So watakanambia kale ka komenti ndo kananifanya mi nisiwe intro..?? Unanionea bure!
Yes kinakufanya uwe jambazi tu kama majambaz wengine
 
Back
Top Bottom