Nilikosa kazi ya Uhasibu serikalini kisa Dr.W. P. Slaa

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,206
103,778
Katika hali ya kusikitika sana mwanzoni mwa mwaka huu nilipata na mkasa huu kama changamoto ktk profession yangu. Nikiwa mbele ya jopo la usaili(serikalini) la watu 6, huku wakipitia CV, pamoja na vyeti vya ''ukweli'' walipenda kujua ''who is my role model''. Kwa haraka nikataja watu wa3 ie Nyerere, Mandela na Dr.Slaa, lakini nikawaomba nijikite zaidi kwa Dr. Slaa kwa sababu namshuhudia tofauti na Nyerere ambaye nimeishia kumsoma tu kwenye vitabu maana 1999 wakati ndo kwanza nilikuwa la 4. Nilimchambua mzee huyu ''Dr.Slaa'' vizuri hasa ktk nyanja ya uongozi imara kwa kuwapa vijana nafasi na hamasa kubwa ktk ushiriki wa kujenga taifa lao pamoja na kuleta mageuzi ya sector zote.

Wana jopo walishtuka, na mmoja aliniambia wazi kuwa pamoja G.P.A 4.2, material niliyo-deliver mbele yao, wanasikitika kusema kuwa ''JINA LA DR.SLAA LIMEHARIBU KILA KITU'', hivyo nisitegemee simu. Niliwashukuru na kuwaomba watambue mchango wa Dr. Slaa hata bila ya uwepo wangu ktk ofisi yao
 
Wapi hiyo wanajopo wanapomwambia mhojiwa kwamba asitarajie simu ya kuitwa kazini? Ni wizara au ni idara ya serikali. Angalau ungetutajia na jina la hiyo Idara au Wizara!? vinginevyo...
 
sasa wewe nawe, si ungesema Utoh, uhasibu na siasa wapi na wapi?

Sikuona kama ni tatizo kwa kuwa nilimchambua ktk nyanja ya Uongozi zaidi, hata mwasibu lazima awe kiongozi......hata kama ningesema Utoh bado ningekuwa pale pale kwenye uongozi, Utoh huwa harambi voucher anaongoza
 
Wapi hiyo wanajopo wanapomwambia mhojiwa kwamba asitarajie simu ya kuitwa kazini? Ni wizara au ni idara ya serikali. Angalau ungetutajia na jina la hiyo Idara au Wizara!? vinginevyo...

ilitokea mkuu, hata wanajopo hawakupendezwa na kauli ya mwenzao, nadhani alipaniki......kama wanaweza ''gharama'' ya kuajiri mtu asiye na cheti, watashindwa ''gharama'' ya kumwambia mtu asitegemee simu?
 
Pole sana kamanda, endelea kusimamia kile unachokiamini, haki siku zote hucheleweshwa, nakushauri kwa sasa tafakari kujiajiri hata kuuza vorcher na kama hautaweza tafuta shughuli ambayo itakupa kipato hata kama ni kuuza chips, huku tukiendelea kusubiri ukombozi
 
Katika hali ya kusikitika sana mwanzoni mwa mwaka huu nilipata na mkasa huu kama changamoto ktk profession yangu. Nikiwa mbele ya jopo la usaili(serikalini) la watu 6, huku wakipitia CV, pamoja na vyeti vya ''ukweli'' walipenda kujua ''who is my role model''. Kwa haraka nikataja watu wa3 ie Nyerere, Mandela na Dr.Slaa, lakini nikawaomba nijikite zaidi kwa Dr. Slaa kwa sababu namshuhudia tofauti na Nyerere ambaye nimeishia kumsoma tu kwenye vitabu maana 1999 wakati ndo kwanza nilikuwa la 4. Nilimchambua mzee huyu ''Dr.Slaa'' vizuri hasa ktk nyanja ya uongozi imara kwa kuwapa vijana nafasi na hamasa kubwa ktk ushiriki wa kujenga taifa lao pamoja na kuleta mageuzi ya sector zote.

Wana jopo walishtuka, na mmoja aliniambia wazi kuwa pamoja G.P.A 4.2, material niliyo-deliver mbele yao, wanasikitika kusema kuwa ''JINA LA DR.SLAA LIMEHARIBU KILA KITU'', hivyo nisitegemee simu. Niliwashukuru na kuwaomba watambue mchango wa Dr. Slaa hata bila ya uwepo wangu ktk ofisi yao

mwongo!!!!! Wasahili gani watakuambia hivyo.
 
NASITA KUAMINI KAMA HABARI HII Ni YA KWELI KABISA..
ila hakuna ubaya wa kuwa mkweli na kusimamia kile unachoamini.
 
Kasome tena naona bado hujafaulu

Mkuu, nakupinga kwa nguvu zote, hawa walikuwa ni watu wenye interest na ''Chama'', ila kwa wanaojua ''Mhasibu ni yupi'', walining'ang'ania, nipo ghorofa mkabala na Wizara ya Habari pembeni kuna NMB
 
Mradi uweke post na wewe ya kuchangiwa, kweli JF imeshuka hadhi yake! huyu nae ni great thinker ! mh!
 
Nina mashaka na hilo jopo ulilokumbana nalo. Unless kama ajira ilikuwa ni ya green party pale Lumumba otherwise majibu kufuatia interview huwa hayatakiwi kuwa na kiburi kwa mtahoiniwa kiasi cha kumkataa mwombaji palepale kwenye interview labda pia ni kule BSS
 
Mkuu, hata ningekuw a mimi ningekunyima kazi kwa nza umeonyesha kushindwa ku-relate kazi/exprience na interview, inabidi kwanza kujifunza kujibu maswali ya interview na ku relate na kazi unayoomba

Pili Dr. Slaa kuwa ndo role model wako ku relate na leadership skill hii ni weak argument, sababu Slaa bado hana sifa unazodhania hasa mbele ya watu wenye utaalam wa leadership, slaa bado ni mchanga sana, kwa hiyo umejiangusha mwenyewe. unaweza mtaja Slaa kama role model wako unapo omba kazi kama mhasibu wa Kanisa au vyama vingine vya siasa vidogovidogo wenye upeo mdogo

Ushauri wa Bure;
Angalia tena upya Interview technics kama ujaendelea na interview nyingine vinginevyo utopata kazi na utabaki kulaumu watu.
 
Sikuona kama ni tatizo kwa kuwa nilimchambua ktk nyanja ya Uongozi zaidi, hata mwasibu lazima awe kiongozi......hata kama ningesema Utoh bado ningekuwa pale pale kwenye uongozi, Utoh huwa harambi voucher anaongoza

kiwanda cha fix
 
Back
Top Bottom