ligendayika
JF-Expert Member
- Aug 31, 2012
- 1,183
- 198
Pamoja na yote amini usiamini ukitaja upinzani kwenye usaili wowote umma/serikalini hapo upati kazi nyie bisheni si mna kazi zenu hayo yapo tena wazi kabisa, hata kama hii story ni fix lakini habari ndo hiyo.