finance2014
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 314
- 79
Habari Wakuu niliibiwa simu katikati ya mwezi huu nikafanya maamuzi ya kubadili line sasa nilikuwa na deni la tigo niwezeshe la 160,000 lilipaswa kulipwa mwezi ujao.
Nauliza, je Tigo watanitafuta au nijisalimishe kuclear jina langu, kuna yeyote aliyewahi kubadili line akiwa na deni na hakutafutwa na mamlaka husika, msaada kwenye tuta.
Nauliza, je Tigo watanitafuta au nijisalimishe kuclear jina langu, kuna yeyote aliyewahi kubadili line akiwa na deni na hakutafutwa na mamlaka husika, msaada kwenye tuta.