Nilijua hajui ila nimefanikiwa kupindua meza

Habarini za muda huu wanajamii forum pole na majukumu mazito ya ujenzi wa taifa.

Iko hivi hizi siku za hv karibuni nimeona mabadiliko makubwa kwa mwandani wangu wa muda mrefu, moja amekuwa mkimya sana na kukosa ile nuru na uchangamfu ambao alikuwa nao sikuzote, pili pindi niwapo mbali amekuwa na taboa ya kutokujibu sms na muda mwingie hata simu nikimpigia kujua Hali ya hapo nyumbani ikoje. Sasa niliporudi ikabidi nimuweke chini nimueleze juu ya tabia hizi na kwamba Nina mpango nimrudishe kwao akapumzike na kujitafakari upya, ndipo alipo niambia

Anhaaa hongera naona unataka kunirudisha nyumbani ili uvinjali na mchepuko wako ..xxxx... aisee mwanaume nikashtuka na kijasho Chembamba kikaanza kunitoka kwamba amemjuaje huyo mtu na mbona mm nipo makini sana?

Akaanza kuniambia huyo mtu sehemu anapoishi, duka lake lilipo ambalo anahisi nimemfungulia, na mambo mengine mengi kumhusu mtu huyo mpaka nikashangaa na akaniambia ni kama miezi 6 sasa toka ajue na kufuatilia. Aiseeee ikabd kwanza nimkazie na kumwambia kwann hqkuniuliza mida wote huo na kuendelea kunijudge wakati mtu huyo ni rafiki tu ambae huwa tunataniana na kwamba huyo ana mtu wake pia mm siwezi toka na mtu kama huyo nikajitetea pale nashukuru amenielewa na nimemuonya kuacha kuweka vitu moyoni badala yake aulize, hivyo nawashauri wanaume we zangu tuwe makini sana hatuwezi jua hawa viumbe emotions zikiwapanda watafanya nn.

Anyway kumridhisha zaidi leo weekend nilimtoa out na kuweka mambo Sawa na kuzungumza zaidi mipango yetu mikubwa na namnq tupambanie kufanikisha sio kusikiliza maneno ya uchonganishi na umbea huko nje
Siku ukikuta message ya njemba inasifia game halafu akuambie ni rafiki tu pia ulete uzi hapa ,na ujue tu wana siku hizi wanatifua tope tu k hawana habari nazo.
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Yuko humu pia kwa kuweka hizi details hapa kakusoma na anakuchora tu. 😃😃

Habarini za muda huu wanajamii forum pole na majukumu mazito ya ujenzi wa taifa.

Iko hivi hizi siku za hv karibuni nimeona mabadiliko makubwa kwa mwandani wangu wa muda mrefu, moja amekuwa mkimya sana na kukosa ile nuru na uchangamfu ambao alikuwa nao sikuzote, pili pindi niwapo mbali amekuwa na taboa ya kutokujibu sms na muda mwingie hata simu nikimpigia kujua Hali ya hapo nyumbani ikoje. Sasa niliporudi ikabidi nimuweke chini nimueleze juu ya tabia hizi na kwamba Nina mpango nimrudishe kwao akapumzike na kujitafakari upya, ndipo alipo niambia

Anhaaa hongera naona unataka kunirudisha nyumbani ili uvinjali na mchepuko wako ..xxxx... aisee mwanaume nikashtuka na kijasho Chembamba kikaanza kunitoka kwamba amemjuaje huyo mtu na mbona mm nipo makini sana?

Akaanza kuniambia huyo mtu sehemu anapoishi, duka lake lilipo ambalo anahisi nimemfungulia, na mambo mengine mengi kumhusu mtu huyo mpaka nikashangaa na akaniambia ni kama miezi 6 sasa toka ajue na kufuatilia. Aiseeee ikabd kwanza nimkazie na kumwambia kwann hqkuniuliza mida wote huo na kuendelea kunijudge wakati mtu huyo ni rafiki tu ambae huwa tunataniana na kwamba huyo ana mtu wake pia mm siwezi toka na mtu kama huyo nikajitetea pale nashukuru amenielewa na nimemuonya kuacha kuweka vitu moyoni badala yake aulize, hivyo nawashauri wanaume we zangu tuwe makini sana hatuwezi jua hawa viumbe emotions zikiwapanda watafanya nn.

Anyway kumridhisha zaidi leo weekend nilimtoa out na kuweka mambo Sawa na kuzungumza zaidi mipango yetu mikubwa na namnq tupambanie kufanikisha sio kusikiliza maneno ya uchonganishi na umbea huko nje
 
Bro ulilomtendea mwenzio unalijua mwenyewe, fikiri ingekuwa yeye ndio amekutendea hivyo ungejisikiaje. Jaribu kutubu na kuacha hyo mambo kama unahakika kuwa una mke MWEMA.
 
Nakukumbusha tu ya kua.

MUNGU HADHIHAKIWI HATA KIDOGO KAMWE

Watch ur mouth bro ipo siku utakuja kukubali uwepo wake, upendo wake kwako, huruma yake na uwezo alionao.
Alishasema kakulia kwenye uchokoraa hayuko sawa huyo kisaikolojia
 
Kama mkeo ustadhati na mnakaa Maeneo ya kijichi na zone ya Huko ..bas pole..I smashed your woman..aliwahi kulalamika na nikatumia gia kumzabua
 
Jamaa wanakutisha tu apo kua ooh mke ukimcheat lazma na yeye akucheat UONGO MTUPU. Kati ya watu wanaosamehe kikwelikweli wanawake wanaongoza na ndio maana wanaishi mda mrefu yaani akikusamehe kasamehe kweli.

Ni ukweli usiopingika kua ni rahisi ndoa kuendelea mwaume akifumaniwa na mkewe, kuliko mwanamke akifumaniwa na mumewe. Hilo liko wazi hiyo inaonesha ni jinsi gani mwanamke anaweza kuvumilia maumivu na kuacha yapite.
Wanakupa moto tu hapa mkuu, mkeo keshakuamini na mipango mingine iendelee.
TUSIISHI KWA KUKALILI.
 
Ni lazima.
Sio wote wanafikiria visas na malipizi, kama ww ukikosewa na mtu wako basi unamcheat nampa pole sana huyo jamaa maana anaishi na mtu ambae yuko tayari kurisk kila kitu ili mradi tu alipize
 
Jamaa wanakutisha tu apo kua ooh mke ukimcheat lazma na yeye akucheat UONGO MTUPU. Kati ya watu wanaosamehe kikwelikweli wanawake wanaongoza na ndio maana wanaishi mda mrefu yaani akikusamehe kasamehe kweli.

Ni ukweli usiopingika kua ni rahisi ndoa kuendelea mwaume akifumaniwa na mkewe, kuliko mwanamke akifumaniwa na mumewe. Hilo liko wazi hiyo inaonesha ni jinsi gani mwanamke anaweza kuvumilia maumivu na kuacha yapite.
Wanakupa moto tu hapa mkuu, mkeo keshakuamini na mipango mingine iendelee.
TUSIISHI KWA KUKALILI.
Yaan ww umeongea sasa kiutuuzima bila mihemko na sijui hao wanawake wanao waoa ni wanamna gani ambao kwao kwenda nje kucheat ni kitu rahisi hivyo kama kununua mahitaji sokoni.
 
Yaan ww umeongea sasa kiutuuzima bila mihemko na sijui hao wanawake wanao waoa ni wanamna gani ambao kwao kwenda nje kucheat ni kitu rahisi hivyo kama kununua mahitaji sokoni.
Kabisa mkuu, baadhi ya members JF wanawadharau sana wanawake yani ni kama hawawezi simamia miili yao vile. Kwao kucheat ni kama kununua pipi tu daah.
Kutishana tu kusiko na sababu za msingi.
 
Yani hapo unajiona umeshinda!?? Pile sana hapo umeshinda physically lakin emotionally tambua you're loser. Tegemea kuona mabadiriko kwenye emotional responses
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom