Nilijua anatania kumbe kakasirika

Nilijua anatania kumbe kakasirika

Uyo mnafiki to asa apo kigeni kipi maana ilo tendo mnalifanya kutamka ndo dhambi si mnafiki to
 
yaani hilo neno Mmmmh, halivutii bhana
 
kosa lipo kubwa tu, unaposema naomba nikut* hilo neno hutumika kuashiria tendo la kihuni na kufanyiwa mwanamke mhuni asiye na thamani kwa yule mwanaume, ni kosa sana, tena sana, hakikisha kabla ya kitamka maneno kama hayo angalia utani ulionao na mpenzi wako, wengine kutamka neno hili ni sahihi kwa maana ya mazoea waliyojiwekea wao, ila wewe kama mna mipaka ya lugha katika kuambiana mambo kadhaa basi kuwa makini. kwa ulivyomwambia ni dhahiri umemuona kama malaya fulani na pia ni kama huwafanyia wengi tu
 
wakuu natumai hamjambo....jamani nimezua mambo kwa mwandani wangu ....huyu ni mchumba wangu sasa nimezoea kumwambia naomba mchezo kwa sauti ya upole ...bila hiyana hulembua macho na kunipiga kofi la mahaba...huku akisema....mchezo gani...kisha tunajikuta kuleeee....sasa leo sijui nilipitiwa na nn...nikamwambia ...nataka nikut****. asee amenyenyuka kwa hasira na kuondoka..nimejitahidi kumshika akiwa mlangoni....sikuamini kilichotoke..yani kaning'ata hadi nina alama...sasa jamani hilo ni kosa kumwambia hvyo mpenzi wako?
Hatakuwa hapendi kufanya tabia mbaya huyoo kama mimi. ☺☺☺☺
 
hilo neno huwa linanyegesha hatari....
Kwa wewe usie na vizuizi akilini,kwa wengine wanalichukia mpaka utajiuliza kama ni wanawake au hawana uhakika na jinsia zao. Utasikia heshima,sijui vitu gani wakati hot steamy sex wanaitaka. Kukiwa na inhibitions nyingi na heshima kama vile nyinyi ni mzazi na mtoto,sahau swala la kuinjoi sex na mwenzi.
 
Hujakosea sana ingawa hilo neno daah!

Inategemea na vile wapenzi mlivozoeana,kama mmezoea kutumia maneno ya staha afu gafla umwambie hivo lazima aone jambo jipya
No Valentina, mpenzi wako akikwambia,"Nataka Nikutomb..", jibu kwa nyodo kidogo but in a hot, slutty, sexy way,"Unataka Unitomb... vipi?" au just say," Unataka hapahapa?"Kama mko kwenye uhusiano kwa muda mrefu na mmezoeana sana ila ndio hivyo mnaheshimiana, Usiongezee neno "mpenzi"mwishoni mwa sentensi hiyo kwa sababu utaspoil the moment,just act/pretend kama vile sio wewe na usishangae akitumia hilo neno,utashangaa kile atakachokupa siku hiyo.
Pia hutibu hata wenye tatizo la kukosa hamu ya tendo au wanaume wenye upungufu wa nguvu za kiume.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom