Nilijua anatania kumbe kakasirika

Nilijua anatania kumbe kakasirika

Mwambie " beib kuna ki million hapa sina issue nacho nimeamua nikuachie utafukia fukia nacho mashimo " alaf msikilizie....tehe

Ila yaweza ikawa hausigeli huyo...hahaha
 
Waonekana bado mdogo kiumri, sidhani km wapenzi wanaombana hiyo mambo, jifunze kuwa romantic unapokuwa unahitaji, tumia lugha ya mahaba na atakuelewa kirahisi sanaa.... maneno ya nini?
 
Hujakosea sana ingawa hilo neno daah!

Inategemea na vile wapenzi mlivozoeana,kama mmezoea kutumia maneno ya staha afu gafla umwambie hivo lazima aone jambo jipya
Kweli hajakisea aiseeee....
Sema mahaba ya kukariri nayo ni shida nyingine ambayo huleta homa ya kutowaona wapya
 
Hilo ndio tatizo la kuzoesha maneno haya stahili, Hilo neno ulilotumia ndio sawa kabisa....!
Hilineno mihulitamka hata mara tatu kwa siku nikiwa na shemeji yenu aiseee
 
Waonekana bado mdogo kiumri, sidhani km wapenzi wanaombana hiyo mambo, jifunze kuwa romantic unapokuwa unahitaji, tumia lugha ya mahaba na atakuelewa kirahisi sanaa.... maneno ya nini?
Mkuu...
hapa ndipo sasa hawa viumbe wanapo nichanganya sana. Sababu unakuta wao ndio wakwanza kusema hawataki mahaba ya kukariri, hawataki mahaba ya mazoea, wanasema kuna wakati tukue na dirty talk ili kuwatia mizuka.....
Agghhhh.....
Misijui bhana...[emoji19]
 
Hahaaa mkuu ulitamka neno kwa kigugumizi ..nini...baadae ukatukana
 
NENO ULILOTUMIA HALINA HESHIMA, NILA KIHUNI. UKIMTAMKIA MTU AMBAYE ANAJIHESHIMU ANAHISI FEDHEA. KWAKUWA WANYAMA KAMA MBUZI ,MBWA NG'OMBE NDIYO WANA**MBANA. ILA BINADAMU TUNAJAMIIANA. NDIYO SABABU HATA HAPA J.F HALIRUHUSIWI.
 
Mkuu...
hapa ndipo sasa hawa viumbe wanapo nichanganya sana. Sababu unakuta wao ndio wakwanza kusema hawataki mahaba ya kukariri, hawataki mahaba ya mazoea, wanasema kuna wakati tukue na dirty talk ili kuwatia mizuka.....
Agghhhh.....
Misijui bhana...
emoji19.png
Duh! wanaopata mzuka coz of dirty talk ni wachache lkn mkuu, ni vyema kujua km anapendelea kbl ya kutumia hayo maneno.
 
Waonekana bado mdogo kiumri, sidhani km wapenzi wanaombana hiyo mambo, jifunze kuwa romantic unapokuwa unahitaji, tumia lugha ya mahaba na atakuelewa kirahisi sanaa.... maneno ya nini?


Kuna mpenzi alikuwa akinipigia simu, baby twende ukanit****be akija anashughurika kwelikweli.
 
Hujakosea sana ingawa hilo neno daah!

Inategemea na vile wapenzi mlivozoeana,kama mmezoea kutumia maneno ya staha afu gafla umwambie hivo lazima aone jambo jipya
Mbona hilo neno halina shida shost!!! Inapendeza sana k ikiitwa k na mb ikiitwa mb.....
 
Mmmh ame exaggerate buana, mpaka kukung'ata

Talking dirty and flirting na mtu wako ni vizuri, sio tu inaleta mizuka pia inasaidia sana kupunguza uchepukaji

Kuna maneno hata uyaskie mara ngap, yakitajwa tu unasisimuka
 
wakuu natumai hamjambo....jamani nimezua mambo kwa mwandani wangu ....huyu ni mchumba wangu sasa nimezoea kumwambia naomba mchezo kwa sauti ya upole ...bila hiyana hulembua macho na kunipiga kofi la mahaba...huku akisema....mchezo gani...kisha tunajikuta kuleeee....sasa leo sijui nilipitiwa na nn...nikamwambia ...nataka nikut****. asee amenyenyuka kwa hasira na kuondoka..nimejitahidi kumshika akiwa mlangoni....sikuamini kilichotoke..yani kaning'ata hadi nina alama...sasa jamani hilo ni kosa kumwambia hvyo mpenzi wako?
Pole inaonekana nyie nyote bado wadogo mkikua mtaacha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom