DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 40,485
- 99,207
Kwanza mwanamke kua mlevi wa inadisqualify Moja kwa Moja kufit nafas ya MKE wa TU.Actually ukimsikliza kwenye hiyo interview mama yake naye hakuwa na historia nzuri, akaishia kwenye pombe za kupitia kiasi, mwishowe akapata pressure then kapata stroke kapooza upande, haongei. Huyo dada akawa anasema wazazi wetu walikuwa wakivumilia mengi na hawakuwa open Kwa therapy, Bora yeye alikuwa mrahisi kutafuta msaada ambao umemsaidia sana, na anapendekeza therapy.
Uyo mwanamke anatatiz la malezi, Mama ake amekua kwenye malezi ya hovyo, kamrithisha mwanae.
Ndo maana Kuna nyuzi kibao humu watu wanaponda kuoa binti kutoka familia zilizolelewa na single mother.
Wanawalisha Sana sumu watoto wao kuhusiana na maswaa ya ndoa na mahusiano.