Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,047
- 455
- Thread starter
- #101
Inauma sana dem kutangaza anabikira kumbe bilabila.
Acha mtu wangu, nilikuta hola, shimo mpaka kule kwetu...
Inauma sana dem kutangaza anabikira kumbe bilabila.
hivi bikira ina faida gani kwa m/ume mpk uisubirie hivyo, kitu chenyewe unakitoa siku moja tu na ukiono tena, mie ki-ukweli kabisa sijawahi kukutana nayo hata ya kichina kila mtu nayekutana nae ni used na ilo wala halinipi kwikwi
Mpige chini huyo mwanamke hana maaana hata kidogo, ni bora angekuambia ukweli longtime ukajua
dah nilikutana na hyo kadhia juzi b4 xmas,kumbe bnt ana foleni ya wanaume,kila mkoa,mtoto wa 4rm 6 Huyo,
BKRA ALISHAONDOKA NAZO MWENYEWE MAMA YAKE YESU.
bt trust ya mumy.
cz ur wthn her n u into ha.
Nilianza urafiki naye akiwa darasa la saba, akamaliza form four hakutaka kunipa kwa minajiri eti hataki mpaka amalize form six, nikavumilia kwa vile nilimpenda sana, nikaomba tena mchezo akiwa form six lakini akakataa madai yake yuko BIKIRA akianza atazoea hivyo kuathiri masomo yake nikamwamini na kumuacha asome, alipomalizza form six akabana tena, tukakorofishana kidogo eti mie nataka kumharibia maisha yake, baada ya kurudiana akanipa bila shida WAKUU kulia kushoto hamna UKUTA, nikamuuliza kwa ustaarabu tu BIBIE VIPI BIKIRA IMEENDA WAPI? Jibu lake eti tulipokorofishana alikutana na mkaka akambikiri...NILIISUBIRIA kwa hamu hiyo BIKIRA lakini sikuiona..
uyo mwanaume pia alishawai kumwambia ukweli that wakat unanizungusha nilikuwa napiga mademu awa joyce,halima,chausiku,mwamivta na kidawa?
au UKWELI UNALALIA KWA MKIKE TU ?
Asprin na Rose1980..............nanyi naona mnataka kubikiri mbavu zangu jumatatu ya leo.
hahahaha pole mkuu hapo hamna kitu chapa lapa maana alie mfungua atakuwa anathaminiwa zaidi kuliko wewe. Mwachie tu huyo mkaka aliye mbikiri ww hapo ukioa tayari kitu used tafadhari tafuta mwingine nae umlee kama huyo.
Hii ni kweli mkuu, aliyenayo(bikira) haoni thamani yake. yule aliye tolewa/ondolewa anatamani irudi ndio maana hupenda kujisingizia anayo. kiundani inakuwa ni screpa kama uliyokutananayo.:hungry: kula tu
Umiiona signature yako?huna mpya:whoo::whoo:
Pole kwa kutamani bikira mbona hiyo imepitwa na wakati wenzio sikuhizi wantamani zilizolainika kwani wanaogopa kuwaumiza wanawake
Naona mnachakachua bikra bado.
Magulumagu wewe mmmhhh
ningekewa na vocha ningekupigia ...
ukirudi online ni BP....
Hilo hajanambia mkuu hivyi sisnitch mieHuyo ni miongoni mwa hao wachache wanaobanduliwa na baba zao
Subira yako ndio ilokuponza ngoja ngoja umeonekana ZOBA. Kwahiyo we ni bikira tu ndo ulokua unaiwania mh, kweli wewe inaonekana ni mzee wa under ground, kaziako unakuza vipaji unasepa. Alikuweza kweli.